...Hiyo fire station ya Chattle naona in kubwa kushinda hats ya Dar!!
Kweli Chattle kuna mioto inayodtahili ama ndio Yale ya kujikuta wafanyakazi Wa Fire wanakaa Miaka Miwili bila kuzima hats ajali moja ya Moto???[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
You nailed it sir, ni jambo la kawaida fulani kwa kiongozi kujaribu kuvutia maendeleo kwao, ndio haya tunayoona sasa. That id my take.Alijitahidi kupush maendeleo lakini ndio hivyo tena... Kuna kauzembe kalitokealakini Usangi ndio sehemu ya kwanza kuendelea Wakati huo way back 80's kukiwa na mtaa maarufu wa Store Mombasa pale Kiriche
Jr[emoji769]
Fire and rescue ama zimamoto na uokozi kazi zao si moto tu, ni pamoja na kuokoa watu wanaozama majini, ajali zote zinazotokea eneo lao la kazi nk....Hiyo fire station ya Chattle naona in kubwa kushinda hats ya Dar!!
Kweli Chattle kuna mioto inayodtahili ama ndio Yale ya kujikuta wafanyakazi Wa Fire wanakaa Miaka Miwili bila kuzima hats ajali moja ya Moto???[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mtu akishakuwa biased unafikiri ataona hilo!?Fire and rescue ama zimamoto na uokozi kazi zao si moto tu, ni pamoja na kuokoa watu wanaozama majini, ajali zote zinazotokea eneo lao la kazi nk.
Natambua dhima ya kila kiongozi kutaka kusaidia eneo lake ili walau lifanane na kwingine... Natambua fika mawazoni mwao wanataka kuona maeneo yao yakifanana na kaskazini hasa ukanda wote wa Tanga, Moshi mpaka Arusha... Lakini huu ni mchakato mrefu wenye kuhitaji maandalizi na mpango MKAKATI a kina... Kielimu na kubadili mtazamo wa wenyeji wake Umeona hiyo para hapo imepitwa kama haijaandika... Kinachojadiliwa kwa sasa ni kitu kingine kabisa... UKABILA... Na unaona nimetaja kwa uwazi kabisa Tanga Moshi na Arusha lakini mada ikageuziwa watani zangu Wachaga
Jr[emoji769]
Jingine lililopigwa mnada je?Hahahaha , mengine tayari yamepigwa mnada na benki kama hilo lililokuwa Tai five hotel pale kona ya Bwiru tayari msukuma keshalinunua. Mchaga kashindwa kurejea mkopo wa benki CRDB.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hapa nakuunga mkono,huyu instanbul anakana kwao,unajua kagera asilimia ndogo tu ndio kuna maendeleo,yeye anajitapa na zile sehemu chache zenye maendeleoYaani wewe huwa naziamini sana post zako lakini kwa hili unashangaza kidogo. Unakana Kyamuyolwa siyo uhayani wakati hata jina lenywe la kihaya ? Kweli Nshomile ni shida. Wakati Chato ilipohamishiwa mkoa mpya wa Geita ninyi wahaya mlipiga kelele sana kwamba Kagera imemegwa, leo mnaikana Buligi na Kyamuyola kwamba siyo uhayani ?
Huko Bugabo unakosema msukuma aende kufanya nini wakati hata wahaya wenyewe wanapakimbia migomba ilishagoma, msukuma anafuata mbuga ili alime mpunga kama Hiyo Kyamuyola, Buligi na Karagwe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani hakuna shule za kata kule
Kwa hapa nakuunga mkono,huyu instanbul anakana kwao,unajua kagera asilimia ndogo tu ndio kuna maendeleo,yeye anajitapa na zile sehemu chache zenye maendeleo
Hii ni tofauti na sisi kilimanjaro,huwa tunaitaja kilimanjaro kiujumla yaan wilaya zake na maendeleo kwa kila wilaya,huyu instanbul yeye yupo TAYARI kumkana mtu wa kyamyorwa au kimwani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuchapa kazi wanachapa mkuu ila hawana maarifa wa kutumia raslimali na maendeleo ya moja kwa moja na hawana ugunduzi endelevuWell understood brother. Japo watu wa kanda ya ziwa nao ni wachapa kazi inaweza ikawa Turn up nzuri kwao
Sent using Jamii Forums mobile app
Miaka nenda rudi watu wamegoma kuhamia dodoma japo kuna bunge na wizara ya tamisemi.Siongei kishabiki, ila kasi ya ukuaji wa miji ambayo ipo kandokando ya ziwa Victoria na karibu na miji mikubwa huwa kubwa sana. Kilichokuwa kinaleta shida ni mpangilio mbovu wa Miji.
Nani atakaa Chato? Kwanza wapo waliopo lakini pia itategemea kasi ya ukuaji wa kiuchumi. Ki-nchi tunaweza kusema eneo hilo si landlocked kwa sababu linapakana na ziwa Victoria (kuna bandari kongwe ambayo iliwekwa na Wakoloni, na nafikiri unajua sehemu mkoloni alipoweka miundombinu kama hiyo alikuwa anafikiria mbali kiasi gani), Mji wa Geita, Mkoa wa Kagera na urahisi wa kufika Nchi za Rwanda na Uganda.
Kwani kipi cha kushangaza kuanzishwa Chato? Barabara? Majengo ya huduma za kijamii? Uwanja wa ndege.
Kwa hili la Uwanja wa ndege ni vyema kujikumbusha ilipoanzishwa Kia eneo ulipo Uwanja halafu rudi miaka zaidi ya 30 nyuma, Mtu angejiuliza 'unajenga vipi Kiwanja cha Kimataifa porini!' Kumbuka wakati huo zao linaloingiza fedha nyingi za kigeni ni Pamba, Katani na Korosho.
Hapa ndipo inakuja hoja hii aspect ya 'Kaskazini' ndo wenye maono kama Mtanzania mzalendo siwezi kuiunga mkono, ni kuchochea chuki.
Na ushauri wangu, Chama chochote cha siasa kisije kujinasibisha na hili
Haviwezi kuwa sawa milele, ninachokataa mwandishi kuwadharau watu wa chato na msoga
Hatuna shida ya Urais,ikulu tangu enzi za nyerere mbona tupo waandamizi? Umesahau mke wa rais mkapa alikuwa mchaga?Haviwezi kuwa sawa milele, ninachokataa mwandishi kuwadharau watu wa chato na msoga
Anyway ni tabia ya watu kask subirin mbowe awe rais
Hakuna kitu cha kushangaza kask, sijui viwanda wala nn watu maskin kama kwingine mlichobarikiwa wachaga ni roho ya kujikweza na misifa, tumeishi huko wilaya 3 za klm, gongo kama kawa, umaskin uleule kama wa maeneo mengi ya bongo kwa kifala tu, overHatuna shida ya Urais,ikulu tangu enzi za nyerere mbona tupo waandamizi? Umesahau mke wa rais mkapa alikuwa mchaga?
Sent using Jamii Forums mobile app