Mkimzingua ataunda chama chake

Mkimzingua ataunda chama chake

CC M dume la mbegu , hakuna chama kinafurukuta ama uunge juhudi, ndio kama hivi tunaona 🤣🤣
Huyu ni dume la kuku sio!
Screenshot_20210407_203156.jpg
 
Mkuu kuunda chama sio kitu rais kama unavyodhani.
kupata wafuasi sio lelemama. Kwa sasa wanaoongea positively kuhusu rais samia ni mijini, Simaanishi kuwa viijiji wanaongea vibaya ila hawana mzuka wa hawa wa mjini, rHuko vijijini bado watu wanajua sisiemu sasa uwaambie ishu za chama kingine hawakuelewi na sasa hivi kuna kitu kibaya kinajengeka inatakiwa rais ajitahidi sana kuku-negate, kuna kitu kinaanza itwa SUKUMA GANG, yawezekana wanaoita hivi wanamaanisha wachache ila wasukuma wao kwa ujumla wao (mwanza, shinyanga, tabora) wanachukulia hii ni wao wote....otaleta madhara. Imajin ifike mahali mikoa hiyo iwe na mentality mentality ya wenyeji wa mkoa wa kilimanjaro kuhusu vyama itakuaje...
Tutake tusitake, ili ushinde urais kura za mikoa hii ni muhimu sana.
UNAMKUMBUKA ALIYEKUWA RAIS WA MALAWI ALIUUNDA CHAMAFASTA MUDA MFUPI KABLA YA UCHAGUZI NA AKASHINDA
 
Uzuri hilo kundi la washamba halijawahi kushinda lolote humu mitandaoni maana tupo waelewa wa kutosha. Hao washamba wa MATAGA huwa tunawalambisha mchanga kila mara, toka enzi za yule dhalimu wao.
 
Mkuu kuunda chama sio kitu rais kama unavyodhani.
kupata wafuasi sio lelemama. Kwa sasa wanaoongea positively kuhusu rais samia ni mijini, Simaanishi kuwa viijiji wanaongea vibaya ila hawana mzuka wa hawa wa mjini, rHuko vijijini bado watu wanajua sisiemu sasa uwaambie ishu za chama kingine hawakuelewi na sasa hivi kuna kitu kibaya kinajengeka inatakiwa rais ajitahidi sana kuku-negate, kuna kitu kinaanza itwa SUKUMA GANG, yawezekana wanaoita hivi wanamaanisha wachache ila wasukuma wao kwa ujumla wao (mwanza, shinyanga, tabora) wanachukulia hii ni wao wote....otaleta madhara. Imajin ifike mahali mikoa hiyo iwe na mentality mentality ya wenyeji wa mkoa wa kilimanjaro kuhusu vyama itakuaje...
Tutake tusitake, ili ushinde urais kura za mikoa hii ni muhimu sana.

Ni sukuma Gang kweli, hao wasukuma wakijichukulia ni wao wote hiyo ni juu yao. Kama walikaa kimya wakati kabila lao likitumikia taswira chafu, itabidi wakae kimya na sasa.
 
Back
Top Bottom