Mkimzingua ataunda chama chake

Mkimzingua ataunda chama chake

Hii ndiyo hasara ya kumwabudu na kumnyenyekea binadamu badala ya Mungu! Yaani watajua kuwa hawajui Safari hii! Tulikula mwata miaka sits na kubatizwa jina jipya la wanyonge na Sasa ni zamu yao ya ubatizo na wapewe jina linalodhalilisha ili wakajifunze mbele!
 
Hao vijana watapambana na sisi raia. Mama asiwe na presha nao. Sisi ndio tutakua ngao yake Mama yetu kipenzi, yeye apige kazi tu.

Mama yetu ambaye toka ameshika madaraka hata hajamaliza mwezi mmoja ila raia tuna amani tele moyoni (Hajagawa hela barabarani, hajaongeza mishahara wala hajaajiri waalimu bado). Ila roho zetu zimepata utulivu na mapumziko.

Tutapambana nao kama tulivyo pambana na Marehemu Mzee Wao, mpaka akapata stroke. Ikibidi hata kuwakeketa bila ganzi tutawakeketa tu.

Hii nchi ilikua imeshaangamia, ilifika hatua kiongozi wa serikali anageuza kanisa kuwa sehemu ya kwenda kuwachamba waongoza ibada mbele ya waumini wao. Mpaka unajiuliza huyu amekwenda kufanya ibada au amekwenda kuwashushua Ma Askofu au kwenda kusambaza propaganda???
Hapo umesema mkuu. Mama akae kwa amani kabisa sisi huku mtaani tutamlinda mpaka tone la mwisho la damu.
 
Ha ha ha ccm oyeeee! Chadema Wameshaunga juhidi , ccm kiboko yao mama Samia chapakazi ,
 
Mmmh, can it be possible?

Kwa kweli tumezoea kuyaona haya uliyosema ktk nchi za wengine, sitashangaa ikitokea hapa Tanzania pia..

Hata kiongozi mkuu (Rais wa nchi) kufia madarakani tulizoea kuona ktk nchi za wengine, lakini 2021 imetokea Tanzania..!!

Kwa hiyo, tunaweza kuona mambo yenye sura ya miujiza kabisa yakitokea ktk Tanzania hii.

Tutaona impossibles zikigeuka kuwa possibles...

Naweza kusema bila shaka yoyote kuwa, kuna dalili za wazi sana, kuwa, Mungu alikuwa na kusudi maalumu kumruhusu Bygone John Magufuli kuingoza Tanzania kwa staili ya mkono wa chuma na kuivuruga vuruga nchi hii kama njia ya kwenda kwenye restoration..

Baada ya hapo akaruhusu mauti imchukue ili kuruhusu ukombozi wa pili wa Tanzania..

This is coming for sure..
 
Ha ha ha ccm oyeeee! Chadema Wameshaunga juhidi , ccm kiboko yao mama Samia chapakazi ,
Ccm ipi mojawapo?
Asili
Maslahi?
Makinikia?
Au ccm ya bimkubwa?
 
Hiki kipindi uzuri tunaofaidika ni wengi kuliko zaman make ishakuwa zaman hatuna namna
Kwa mfano wengi wanafaidika na nini ?
Binafsi mimi sioni cha kufaidika nacho, lakini maisha yanaendelea.

Au wewe mwenzetu unafaidika na nini, ili na sisi tufaidike.
 
Umemuumiza, mwache Alie kwa uchungu wa maumivu anayoyapata! Nami nimuongezee kifinyo ili Alie vizuri ya kuwa mungu wake is no more!
Umemchanganya ndugu yako hajui akujibu nini
 
Back
Top Bottom