mjombakim
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 1,191
- 1,854
Wenzako matanga wapo hoi!Ha ha ha ccm oyeeee! Chadema Wameshaunga juhidi , ccm kiboko yao mama Samia chapakazi ,
Wenzako matanga wapo hoi!Ha ha ha ccm oyeeee! Chadema Wameshaunga juhidi , ccm kiboko yao mama Samia chapakazi ,
Ufipa st wapo praise and worship team.Wenzako matanga wapo hoi!



Buku 7Andika tena!Ufipa st wapo praise and worship team.
watachambwa adi wafe
Soma tena , uelewe na si kukaririAndika tena!
Hii ndio shida ya watu wafupi.Kuna mahali niliwahi kusema hivyo? Au ni mtazamo wako tu?
CC M dume la mbegu , hakuna chama kinafurukuta ama uunge juhudi, ndio kama hivi tunaona 🤣🤣CCM dume la mbegu
Umeamua kuwatusi sasa wanachama wa kiume wa ccm![]()
Usiingilie uhuru wanguUsiwe mwoga tumia ID moja kwenye mijadala yote.. Kubadili badili ID ni ushamba
Wapi nisome?Soma tena , uelewe na si kukariri
Hii inaitwa kumkoma nyani giladi! Watanyooka tu! Wacha tuonyeshane makali kidogo, tutaelewana tu!!mbona bado TU? Watalia Sana AWAMU hiii.
Mama apewe Miaka 15, asipotaka alazimishwe tu
Ha ha haaaaa, watu mna mambo!!Aisee tumpe muda me nina shukuru nimepata usingizi maana sijapata usingizi miaka mitano iliyopita.
Kila siku unawaza kuvamiwa na TRA na kuporwa!