Mkimzingua ataunda chama chake

Hao vijana watapambana na sisi raia. Mama asiwe na presha nao. Sisi ndio tutakua ngao yake Mama yetu kipenzi, yeye apige kazi tu.

Mama yetu ambaye toka ameshika madaraka hata hajamaliza mwezi mmoja ila raia tuna amani tele moyoni (Hajagawa hela barabarani, hajaongeza mishahara wala hajaajiri waalimu bado). Ila roho zetu zimepata utulivu na mapumziko.

Tutapambana nao kama tulivyo pambana na Marehemu Mzee Wao, mpaka akapata stroke. Ikibidi hata kuwakeketa bila ganzi tutawakeketa tu.

Hii nchi ilikua imeshaangamia, ilifika hatua kiongozi wa serikali anageuza kanisa kuwa sehemu ya kwenda kuwachamba waongoza ibada mbele ya waumini wao. Mpaka unajiuliza huyu amekwenda kufanya ibada au amekwenda kuwashushua Ma Askofu au kwenda kusambaza propaganda???
Hahahahahaa nimecheka sana et hadi akapata stroke
 
Ninaamini wabadhirifu, mafisadi na wakwepa kodi hawajamsoma vizuri mama! Watakapogundua kuwa hayuko upande wao, watamchukia kupindukia!
Kiumbe unayejiita mwanasayansi. Nilikwambia muda, huwi mwanasayansi kwa kusoma au kufundisha masomo ya sayansi. Sasa unajaribu kutupa kete kwenye siasa! Za awamu iliyopita ungefaulu. Leo huwezi aslani.
Mnyonge hakatai kunyongwa. Kunyongwa ni mojawapo ya haki zake. Hata na hizo nyingine ni zake. Mpeni. Kwenye utawala wa sheria hakuna mbadhirifu, fisadi wala mkwepa kodi bila kutiwa hatiani na mahakama. Hao ni watuhumiwa tu. Na yawezekana kabisa kuwa wamebambikiwa tu uhujumu uchumi na utakatishaji fedha. Wabadhirifu, mafisadi na wakwepa kodi na watuhumiwa wengine wote wanataka haki yao ya kuhukumiwa. Muulize Ruge atakwambia. Plea bargain ya DPP hapana. Hukumu ya mahakama ndiyo. Anayegwaya mahakama ni DPP. Awamu ya sita ni ya mnyonge kunyongwa kihalali!
 
Kuna kundi dogo faidika la utawala uliopita ile taharuki ya msiba wa bygone inawaisha sasa na kujikuta tayari mambo ni moto fire, wanashuhudia live jinsi mtandao wao unavyopukutishwa kwa kasi ya moto wa kimbunga.

Wameshasoma mchezo tayari... Hatari iko wazi mbeleni na kama Bimkubwa akiendelea na moto huu huu na support hii hii, hili kundi linaiona Segerea ikiwa makazi yao mapya huko mbeleni, na pengine kushtakiwa kwa uhujumu uchumi, utesaji na mauaji
Sasa wafanyeje? Pesa wanayo na wanajua nguvu ya pesa... Maisha ni magumu na wanajua jinsi elfu 10 ilivyo kubwa kwasasa.

Wanaunda mtandao mpya wa vijana waganga njaa mitandaoni ikiwemo JF halafu wana fight back.. Hao vijana kwa maelekezo maalum wana crush, wanabeza, wanakejeli kila anachofanya Rais Samia Suluhu.. Wanataka ku downgrade ili aonekane hafai, hana uzoefu na anakurupuka...!!!

Kwa shida na uchu wa pesa mbuzi wa vijana wetu hili kundi litawapata wengi sana..kwa mfano hapa JF tayari wameshawapata wasiopungua 10 wote wamejiunga kati ya 2016 na 2019...na wengi wao ni zile ID za hakiba ya Lumumba Bk7
Sasa mama ndio Rais na mwenye mamlaka yote... Wakae watulie.. Kama anaifanyia kazi manifesto ya CHADEMA kwa asilimia 100 ni kwa faida ya wote... Mkizidi kumzingua ataivunja serikali aunde chama chake agombee upya ..ASHINDE KWA KISHINDO awazingue vizuri sasa!

NASEMA TULIENI TULI...MBATIZWE UBATIZO WA MOTO.

Hahitaji kuvunja serikali wala kuunda chama kipya. Kama ilivyokuwa kwa Jiwe, anapindua mafaili na kuigeuza CCM ya Samia na serikali ya Samia. Kwanza keshaanza. Walioletwa na Jiwe bila shaka wanajiandaa ama kugeuza loyalty au kupisha machaguo na muziki wa Samia.

Kama kawaida, CCM ni “ile ile” midundo tu ndio hubadilika. Ikibidi, hata mipigo ya CHADEMA wanaicheza tu kama alivyoanza Jiwe. Hapa JF napo ID za LB7 hubadilika. Cha maana ni lebo ya CCM tu.
 
Umemchanganya ndugu yako hajui akujibu nini
Afu ww ni mnajimu gani unae sahau?, unazidiwa na wakaldayo wa babeli... CCM ilipewa miaka 115 ya kutawala nchi, tafuteni threads za wanajimu humu ndani mtazipata, ni kama ilivyo Marekani ni dola itakayotawala Dunia hadi Jesus atakaporudi
 
Hahitaji kuvunja serikali wala kuunda chama kipya. Kama ilivyokuwa kwa Jiwe, anapindua mafaili na kuigeuza CCM ya Samia na serikali ya Samia. Kwanza keshaanza. Walioletwa na Jiwe bila shaka wanajiandaa ama kugeuza loyalty au kupisha machaguo na muziki wa Samia.

Kama kawaida, CCM ni “ile ile” midundo tu ndio hubadilika. Ikibidi, hata mipigo ya CHADEMA wanaicheza tu kama alivyoanza Jiwe. Hapa JF napo ID za LB7 hubadilika. Cha maana ni lebo ya CCM tu.
Chama kinyonga..ila kitu kitu kina kikomo
 
Afu ww ni mnajimu gani unae sahau?, unazidiwa na wakaldayo wa babeli... CCM ilipewa miaka 115 ya kutawala nchi, tafuteni threads za wanajimu humu ndani mtazipata, ni kama ilivyo Marekani ni dola itakayotawala Dunia hadi Jesus atakaporudi
Kafara la kutokimbikiza moto mwala jana limezika maagano na najimu zote.... Na kwa kudhihirisha hilo, likala kichwa cha jasiri muongoza njia... Niamini nisemayo mimi HAKUNA MIAKA 115 TENA!!!
 
Ripoti ya CAG

Kigwangala alitumia 172M kuandaa Kili challenge lakini pesa hizo hazijulikani zilitumikaje (hazina risiti).

Akaunti ya jeshi la zimamoto ilitumika kupitisha 261M. Yani watu walipiga "mchongo" wakakosa akaunti ya kupitishia, wakatumia akaunti ya zimamoto. Zilipoingia wakazitoa wakasepa. Just imagine watu wana ujasiri wa kupitisha pesa chafu kwenye akaunti ya jeshi? Halafu tunaambiwa mwendazake alinyoosha nchi.

Wasafi walipewa 140M, TBC 201M na Clouds 629M kutangaza tamasha la Urithi Festival. Lakini hakuna mkataba wala risiti yoyote ya kujustify malipo hayo.

18Bil zilizokusanywa ktk wilaya 135 hazikufika serikalini. Yani zilikusanywa lakini wajanja wakalala nazo mbele.

3.9Bil zilitolewa kukarabati ndege ya ATCL iliyopaki tangu mwaka 2015, lakini hela imeliwa na ndege haijakarabatibwa. Yani watu walitafuna milioni 3,900 halafu hawakupaka hata rangi.Hayo ni baadhi tu ya "madudu" ya serikali takatifu ya mwendazake. Sijaongelea HESLB, TANAPA, TANROADS, SGR, Stligler's gorge, Stand ya Magufuli. Huko kuna madudu ya kutisha.
 
Kuna kundi dogo faidika la utawala uliopita ile taharuki ya msiba wa bygone inawaisha sasa na kujikuta tayari mambo ni moto fire, wanashuhudia live jinsi mtandao wao unavyopukutishwa kwa kasi ya moto wa kimbunga.

Wameshasoma mchezo tayari... Hatari iko wazi mbeleni na kama Bimkubwa akiendelea na moto huu huu na support hii hii, hili kundi linaiona Segerea ikiwa makazi yao mapya huko mbeleni, na pengine kushtakiwa kwa uhujumu uchumi, utesaji na mauaji
Sasa wafanyeje? Pesa wanayo na wanajua nguvu ya pesa... Maisha ni magumu na wanajua jinsi elfu 10 ilivyo kubwa kwasasa.

Wanaunda mtandao mpya wa vijana waganga njaa mitandaoni ikiwemo JF halafu wana fight back.. Hao vijana kwa maelekezo maalum wana crush, wanabeza, wanakejeli kila anachofanya Rais Samia Suluhu.. Wanataka ku downgrade ili aonekane hafai, hana uzoefu na anakurupuka...!!!

Kwa shida na uchu wa pesa mbuzi wa vijana wetu hili kundi litawapata wengi sana..kwa mfano hapa JF tayari wameshawapata wasiopungua 10 wote wamejiunga kati ya 2016 na 2019...na wengi wao ni zile ID za hakiba ya Lumumba Bk7
Sasa mama ndio Rais na mwenye mamlaka yote... Wakae watulie.. Kama anaifanyia kazi manifesto ya CHADEMA kwa asilimia 100 ni kwa faida ya wote... Mkizidi kumzingua ataivunja serikali aunde chama chake agombee upya ..ASHINDE KWA KISHINDO awazingue vizuri sasa!

NASEMA TULIENI TULI...MBATIZWE UBATIZO WA MOTO.

Haya, hayo yooooooooooooote uliyobwabwaja hapa leo kiko wapi? Yanafika hata 1/1000 kwa yanayoendelea kwenye huo ubatzo wa moto wa Bi mkubwa? Umeuzwa wewe na kila kitu inachomilik familia yako kwa Mwarabu
 
Back
Top Bottom