Mkemia ni nani hasa?

Mkemia ni nani hasa?

bachelor of scince with educatio ( chemistry na math) naweza kuwa mkemia mkuu
 
bachelor of scince with educatio ( chemistry na math) naweza kuwa mkemia mkuu
Unaweza mkuu piga masters ya chemistry au chemicals and processing ukiwa kwenye system akina magufuli watakuteua
 
Mkemia ni cheo anachopewa mtu hasa aliyesoma masomo ya science hasa Chemistry na kufanya kazi maabara...kuna watu wamesoma food science, biotechnology na lab science na ni wakemia pia...ndiyo maana ukiziona post za Mkemia utakuta wanaohitajika ni waliosoma hayo masomo coz wote wanaigusa chemistry kwenye masomo yao
 
Degree wanaangalia masomo ulisoma a'level au ya diploma kama ulipitia diploma.
 
Umesajiliwa na baraza la wakemia na kupewa leseni ya professional chemist?
 
nasikiasikia tu mkemia ila sijajua ni mtu wa aina gani na inatakiwa usome masomo gani ili uwe mkemia..
tafadhali mwenye kujua anijuze zaidi au kama kuna mkemia humu aseme sehemu alizopitia hadi kuwa mkemia
Umesajiliwa na baraza la wakemia na kupewa leseni ya professional chemist?
 
Back
Top Bottom