Unaweza mkuu piga masters ya chemistry au chemicals and processing ukiwa kwenye system akina magufuli watakuteuabachelor of scince with educatio ( chemistry na math) naweza kuwa mkemia mkuu
Ulikua unaitaka vipiBach. of science in chemistry ,Hii coz ndio niliyokua nataka
Na Hata shule za kata piasehemu yeyote yenye maabara za kemia mfano viwandani, TBS kwa mkemia mkuu TFDA na taasisi za tafiti kama NIMR nk