Mkemia ni nani hasa?

Mkemia ni nani hasa?

Kumbuka huyu magufuli aliwah kuwa mwalimu wa kemia pale sengerema sec: so nahsi ana phd ya ualimu wa kemia ila sio Mtafiti wa maabara

mkuu ni kweli alikuwa mwalimu lakin hiyo phd yake si ya ualimu. Alifanya utafiti wa namna utpmvu wa korosho unavyozuia kutu. hadu sasa ana diploma ya ualimu na sio phd ya ualimu
 
Mchemia ni mtu ambaye amemejor kwenye chemistry wakati wa bachelor degree yake huwa anasoma masomo yote ya chemistry kama analytical, physical, inorganic, organic na technical writing hii inamsaidia kwenye report writing kama analyst. Anafanya kaz kwenye agency za serikali kama TBS, TFDA, NIMR, KWA MKEMIA MKUU, VIWANDA VYOTE NA MASHIRIKA YA MAJI KAMA DAWASCO, kwenye migodi na sehemu nyingine nying zinazohusu matumiz ya chemikali kufanikisha kazi. Kwa mkemia mkuu huwa wanadili na forensic science sana kwenye kutambua criminals kama watumiaji wa madawa ya kulevya, viwandani huwa wanakua quality control and assurance of products. Checking chemical balance in product and so on. Sehemu kama DAWASCO huwa wanaanalyse and purify water bila shaka umempata lolote
 
mkuu ni kweli alikuwa mwalimu lakin hiyo phd yake si ya ualimu. Alifanya utafiti wa namna utpmvu wa korosho unavyozuia kutu. hadu sasa ana diploma ya ualimu na sio phd ya ualimu
Umesema kweli mkuu jamaa ana dip na bachelor ya ualimu wa kemia ila master na PhD amechukua ya chemistry kwa hiyo yeye ni mkemia ila so kigezo cha kumpa kura 25/oct
 
Mchemia ni mtu ambaye amemejor kwenye chemistry wakati wa bachelor degree yake huwa anasoma masomo yote ya chemistry kama analytical, physical, inorganic, organic na technical writing hii inamsaidia kwenye report writing kama analyst. Anafanya kaz kwenye agency za serikali kama TBS, TFDA, NIMR, KWA MKEMIA MKUU, VIWANDA VYOTE NA MASHIRIKA YA MAJI KAMA DAWASCO, kwenye migodi na sehemu nyingine nying zinazohusu matumiz ya chemikali kufanikisha kazi. Kwa mkemia mkuu huwa wanadili na forensic science sana kwenye kutambua criminals kama watumiaji wa madawa ya kulevya, viwandani huwa wanakua quality control and assurance of products. Checking chemical balance in product and so on. Sehemu kama DAWASCO huwa wanaanalyse and purify water bila shaka umempata lolote

nimepata kitu hapo asante mkuu
 
Mchemia ni mtu ambaye amemejor kwenye chemistry wakati wa bachelor degree yake huwa anasoma masomo yote ya chemistry kama analytical, physical, inorganic, organic na technical writing hii inamsaidia kwenye report writing kama analyst. Anafanya kaz kwenye agency za serikali kama TBS, TFDA, NIMR, KWA MKEMIA MKUU, VIWANDA VYOTE NA MASHIRIKA YA MAJI KAMA DAWASCO, kwenye migodi na sehemu nyingine nying zinazohusu matumiz ya chemikali kufanikisha kazi. Kwa mkemia mkuu huwa wanadili na forensic science sana kwenye kutambua criminals kama watumiaji wa madawa ya kulevya, viwandani huwa wanakua quality control and assurance of products. Checking chemical balance in product and so on. Sehemu kama DAWASCO huwa wanaanalyse and purify water bila shaka umempata lolote

umejibu vyema sana pokea like mkuu
 
Mchemia ni mtu ambaye amemejor kwenye chemistry wakati wa bachelor degree yake huwa anasoma masomo yote ya chemistry kama analytical, physical, inorganic, organic na technical writing hii inamsaidia kwenye report writing kama analyst. Anafanya kaz kwenye agency za serikali kama TBS, TFDA, NIMR, KWA MKEMIA MKUU, VIWANDA VYOTE NA MASHIRIKA YA MAJI KAMA DAWASCO, kwenye migodi na sehemu nyingine nying zinazohusu matumiz ya chemikali kufanikisha kazi. Kwa mkemia mkuu huwa wanadili na forensic science sana kwenye kutambua criminals kama watumiaji wa madawa ya kulevya, viwandani huwa wanakua quality control and assurance of products. Checking chemical balance in product and so on. Sehemu kama DAWASCO huwa wanaanalyse and purify water bila shaka umempata lolote

umenipa moyo sana mkuu Pokea like 10000000
 
Wakt akiwa mwl alkuwa na dipl bt alichukua degree ya bs in chemistry na kuwa mkemia mkuu wa nyanza
 
Duh! Kama humjui mkemia ina maana hujawahi soma hata form one! Maana kama ungesoma sekondari lazima ujifunze what is Chemistry...
 
mkuu ni kweli alikuwa mwalimu lakin hiyo phd yake si ya ualimu. Alifanya utafiti wa namna utpmvu wa korosho unavyozuia kutu. hadu sasa ana diploma ya ualimu na sio phd ya ualimu


Hivi huwa kuna PhD ya ualimu?
 
Mchemia ni mtu ambaye amemejor kwenye chemistry wakati wa bachelor degree yake huwa anasoma masomo yote ya chemistry kama analytical, physical, inorganic, organic na technical writing hii inamsaidia kwenye report writing kama analyst. Anafanya kaz kwenye agency za serikali kama TBS, TFDA, NIMR, KWA MKEMIA MKUU, VIWANDA VYOTE NA MASHIRIKA YA MAJI KAMA DAWASCO, kwenye migodi na sehemu nyingine nying zinazohusu matumiz ya chemikali kufanikisha kazi. Kwa mkemia mkuu huwa wanadili na forensic science sana kwenye kutambua criminals kama watumiaji wa madawa ya kulevya, viwandani huwa wanakua quality control and assurance of products. Checking chemical balance in product and so on. Sehemu kama DAWASCO huwa wanaanalyse and purify water bila shaka umempata lolote[/Q. Hapo nimekuelewa vizuri
 
Hivi mtu aliyemaliza degree of science in chemistry je anaweza kukubalika kusoma degree ya medical surgery??ili hali alisoma biology a'level.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom