ni Wife hundread
nasikiasikia tu mkemia ila sijajua ni mtu wa aina gani na inatakiwa usome masomo gani ili uwe mkemia..
tafadhali mwenye kujua anijuze zaidi au kama kuna mkemia humu aseme sehemu alizopitia hadi kuwa mkemia
Ili kusomea ukemia wenyewe ni lazma uwe na ufaulu wa chemistry mkuu, hyo bios ni mbwembwe 2 coz m2 wa PCB,CBG na PCM akiwa na ufaulu mzuri wa chemistry unapiga hyo (neno mkemia ni m2 anaeusika na mambo ya upimaji/utafiti kwa kutumia maabara wakemia ni wale wa liosoma laboratory,research and pharmacutical science)
Ili kusomea ukemia wenyewe ni lazma uwe na ufaulu wa chemistry mkuu, hyo bios ni mbwembwe 2 coz m2 wa PCB,CBG na PCM akiwa na ufaulu mzuri wa chemistry unapiga hyo (neno mkemia ni m2 anaeusika na mambo ya upimaji/utafiti kwa kutumia maabara wakemia ni wale wa liosoma laboratory,research and pharmacutical science)
Na utakuwa mkemia mkuu wa serikali ambaye huwa ni mmoja tu
Kwa hiyo nikisoma bachelor of science in chemistry ajira ntakosa sbb mkemia n mmoja tz au???? because nimechaguliwa bachelor of science in chemistry bagamoyo university lkn watu wananiogopesha et ajira hamna labda niwe na referee is it?
naomba ushaur wenu hasa huyo mkemia
mbona Magufuli ni imjinia wa kemia ana utofauti gani na huyo unayemsema
na ukisoma bachelor of science in chemistry ni lazma uwe mkemia au kuna coz nyingine unaweza ukasoma tofauti na ualim??????
mkemia ni m2 anaependa kunywa makemikali mda wote,kama acid n.k