kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,460
- 4,166
- Thread starter
- #401
Mimi tena?Sasa kama ulifaulu written na ulikuwa kidedea kwanini usiende Oral Interview.. acha kuzingua bac
Mimi tena?Sasa kama ulifaulu written na ulikuwa kidedea kwanini usiende Oral Interview.. acha kuzingua bac
Sijui mkuuMkuu Ina maana wewe ni Applicant wa 3243 kwenye seriol No:🤔🤔🤔.!!!
Tatzo ni hlo jina unalotumia. 😂Mi nimetemwa dadeki
Nimetemwa TRA
Nimetemwa TRC
Nimetemwa TAKUKURU
Aya maisha lazima yaendeleee
Ulicertify mwenyewe au ulicertify kwa mwanasheria?Nadhani kuna tatizo mahali wakuu, kuna mtu nilimsaidia kuomba na nilicertify vyeti vyote kama application ilivyokua ila naona amekataliwa kwa sababu hakucertify vyeti.
Kwa wakiliUlicertify mwenyewe au ulicertify kwa mwanasheria?
Aligonga muhuri?Kwa wakili
Duh.one man down.
Sababu sijacertify vyeti eti.
Mbona wakati mwingine wananiitaga nikiwa hata sijacertify?
Hawa kenge kweli



Kwahyo wamekukataa 7bu hujacertify..Mimi jamani niliapply bila certified lakini baada ya weeki 3 ni kaupload ambyo ina mhuri lkn sijashortlistiwa kwsbb imandikwa vyeti sijaiverify. Kuna hoe yyte nikienda wataweza kuniskiliza?
ewaah. hapa ku certify si hoja ya msingi nadhan wametafuta namna tu ya kutupunguzaHii ya certification ni uhuni. Kwa sababu vyovyote vile, serikali huwa ina hakiki vyeti. Huwezi kusema mtu acertify halafu atume kopi ndio itakuwa halali. We must shout against this.
Nilicertify na kuiupload ajiraportal ilikubali kuupload lakini baada ya weeki tatu ya deadline labda by that time TRA walikuwa wameshapata vyeti nloeka mwanzo ambayo sijacertifyKwahyo wamekukataa 7bu hujacertify..
H. Kuna watu ambao hawakucertify na wameitwa Interview..?
Whatever the case, huwezi ku-certify uscan then hiyo nakala iwe maana yoyote. Ingekuwa kuna uwezekano wa kusubmit original certified at leat. Haya ndio yanafanya wasomi wa Kitanzania wawe wajinga.Nilicertify na kuiupload ajiraportal ilikubali kuupload lakini baada ya weeki tatu ya deadline labda by that time TRA walikuwa wameshapata vyeti nloeka mwanzo ambayo sijacertify
Wasomi wa Tz wawe wajinga? Wakati serekali yko ndo wanavotka hvyo utowe copy ya vyeti uicertify kwaadvocate na ndo uieke ajiraportal. Sasa ujinga hpo ipo wp inawezkna nilichelewa kuskia kuhusu huu utaratibu mpya na kuvieka ya certified ila usiseme wasomi wa Tz ni wajinga niutaratibu mpya ilotelewa na ajira htuna namna zaidi kujifunza na basi kuitana wajinga for wt lbda ww ndo mjinga hujielewi unachotamkaWhatever the case, huwezi ku-certify uscan then hiyo nakala iwe maana yoyote. Ingekuwa kuna uwezekano wa kusubmit original certified at leat. Haya ndio yanafanya wasomi wa Kitanzania wawe wajinga.
Duh.one man down.
Sababu sijacertify vyeti eti.
Mbona wakati mwingine wananiitaga nikiwa hata sijacertify?
Hawa kenge kweli
Na ungecertify wangetafuta vigezo vingine vya kupunguza watu,utumishi kumejaa watendaji wa mchongo sana,hiyo sio haki kabisa,ni kutowatendea haki vijana wasomi wa kitanzaniahongereni kwa mlioitwa sisi wengne tumepihwa chini kisa hatujacertify vyeti wakat inyerview zote hua tunaitwa kwa vyeti hivyo hivyo ambavyo havijawa certified
Kila siku wanatafuta sababu ya kuwanyima ajira watanzaniaHii ya certification ni uhuni. Kwa sababu vyovyote vile, serikali huwa ina hakiki vyeti. Huwezi kusema mtu acertify halafu atume kopi ndio itakuwa halali. We must shout against this.
Huwezi kusema unatuma kopi ya certification ikaitwa certified. Hili waandikieni watu wa ajira. Lalamikeni hadi ofisi ya Rais Utumishi.Na ungecertify wangetafuta vigezo vingine vya kupunguza watu,utumishi kumejaa watendaji wa mchongo sana,hiyo sio haki kabisa,ni kutowatendea haki vijana wasomi wa kitanzania