Hussein3
Member
- Nov 7, 2021
- 36
- 17
TRA mzeeKumekucha asubuhi au kumekucha TRA mkuu. Mbona unatuchanganya? Be specific kidogo
TRA mzeeKumekucha asubuhi au kumekucha TRA mkuu. Mbona unatuchanganya? Be specific kidogo
Mzee baba zimwage basi. Maana wadau wanazisubiri kwa hamuTRA mzee
Wameita tayari, pia mlioomba TPA pia wameita. Ila hapo kwa TRA nimeona ndugu zangu wengi wamekatwa sijui shida ilikuwa nini lkn pia wengi wameitwa kada moja tu.Kumekucha asubuhi au kumekucha TRA mkuu. Mbona unatuchanganya? Be specific kidogo
Hawajatoa pdf mzee wamepitia kila accountMzee baba zimwage basi. Maana wadau wanazisubiri kwa hamu
Daah kweli asee shukrani kwa taarifa kiongozi. Kuna aliyeweza kuona tarehe ya Written interview?Hawajatoa pdf mzee wamepitia kila account
Tarehe 6Daah kweli asee shukrani kwa taarifa kiongozi. Kuna aliyeweza kuona tarehe ya Written interview?
Tra bado, waliotwa Ni BMC, BE, TFNC, MSCL, MZINGA, UDSMTRA mzee
Ingia kwenye account yakoTra bado, waliotwa Ni BMC, BE, TFNC, MSCL, MZINGA, UDSM
Hii ishu wengi watachelewa kujua maana tumezoea pdfTra bado, waliotwa Ni BMC, BE, TFNC, MSCL, MZINGA, UDSM
Uliomba post ipi?. Tarehe ni tofauti wengine wamepangiwa tarehe 5.Tarehe 6
CustomUliomba post ipi?. Tarehe ni tofauti wengine wamepangiwa tarehe 5.
Lazima wataachia pdf tu., hata hivyo utumishi walitangaza tangu jana ila majina ndio wameachia leoHii ishu wengi watachelewa kujua maana tumezoea pdf
Itakuwa tarehe 5, mi pia niliomba customs lkn wamenichagua tax mgt ambayo usaili wake n tarehe 5/3Custom
Kwahiyo umechaguliwa bila KUOMBA?????Itakuwa tarehe 5, mi pia niliomba customs lkn wamenichagua tax mgt ambayo usaili wake n tarehe 5/3
Hpn aisee, niliomba zote mbili. Ila nimechaguliwa hyo.Kwahiyo umechaguliwa bila KUOMBA?????
Sahv Utumishi wamekuwa makini sana ili mtu mmoja asijirudie kada tofauti.Hpn aisee, niliomba zote mbili. Ila nimechaguliwa hyo.
Me niliomba mbili pia ila wameniweka customHpn aisee, niliomba zote mbili. Ila nimechaguliwa hyo.
Ooh wamefanya vizuri, ila mbona malalamiko kuwa wengi hawajaitwa?Sahv Utumishi wamekuwa makini sana ili mtu mmoja asijirudie kada tofauti.