Hii hapaSasa si uweke ushahidi kama mimi nilivyoweka mkuu?
Hii hapaSasa si uweke ushahidi kama mimi nilivyoweka mkuu?
Uko sahii jama muongo huyu hata ile written ambayo tulifanya mwezi wa nane mwaka Jana ilikuwa baada tu ya kufunga vyiuo vyoteSio kweli
Walitoa tangazo lao mwezi wa tano na wakaita watu kwenye interview mwezi wa 6.
View attachment 2127408
View attachment 2127411
Umetishaa boss. Mimi mwenyewe ninayo original pdf job advert na pdf ya kuitwa kwenye written. Nilikua nasubiri ukishindwa kudefend niingilie kati
Vijana wetu hawa Mkuu hawajui wakongwe kwenye game kitambo tuu.Umetishaa boss. Mimi mwenyewe ninayo original pdf job advert na pdf ya kuitwa kwenye written. Nilikua nasubiri ukishindwa kudefend niingilie kati
Yaani hapa hata wakiitaji Ile ya 2017 ya zones mbali*2 ipoo imehifadhiwa tuu kwenye databaseVijana wetu hawa Mkuu hawajui wakongwe kwenye game kitambo tuu.


Salute hii niliikosa nilikuwa chimbo ila wadau wangu kama wote walitusuaYaani hapa hata wakiitaji Ile ya 2017 ya zones mbali*2 ipoo imehifadhiwa tuu kwenye database![]()



Na usaili ulikua terehe 7 mwezi wa 7 2020Umeamua kumbishia tuu, ila ukweli ni kuwa zilianza kutangazwa za Tax Management officers then baadae zikatangazwa za Customs ndio usahili ukaitishwa.
Acha tuu ndugu. Ile ilikuwa yakutokea kabisa nakumbuka tax officer zilikua 116 posts, customs-145, Revenue-100. Nyomi lake ilikua sio poaSalute hii niliikosa nilikuwa chimbo ila wadau wangu kama wote walitusua![]()
Asanteeeee tatizo watu wabishi sitashangaa huu mkeka ukitoka bada ya vyuo kufungwa July
Nitakuwa wa mwisho kuamini kwamba ni sababu ya vyuo kufungwa, hivi kweli event ya siku moja kupata venue ndio izuie ukusanyaji mapato wa nchi hapana, hapa issue itakuwa ni kwamba muajiri na mwenye dhamana ya usahili wanajipanga ili wakija kufanya zoezi lao liendane na mipango tarajiwa, so ni suala la muda tuu.Asanteeeee tatizo watu wabishi sitashangaa huu mkeka ukitoka bada ya vyuo kufungwa July
Sent from my TA-1004 using JamiiForums mobile app
Yes of course u're right brother. Coz written interview inaweza kufanyika siku moja tu. Let's say jumamosi kama ambavyo hufanyika kwa interview nyingine. Ambapo mostly madarasa yanakuwa hayatumiki. So siamini kwamba mpaka likizo wakati jumamosi tu Kuna room ya kuifanya.Nitakuwa wa mwisho kuamini kwamba ni sababu ya vyuo kufungwa, hivi kweli event ya siku moja kupata venue ndio izuie ukusanyaji mapato wa nchi hapana, hapa issue itakuwa ni kwamba muajiri na mwenye dhamana ya usahili wanajipanga ili wakija kufanya zoezi lao liendane na mipango tarajiwa, so ni suala la muda tuu.
You got my point comradeYes of course u're right brother. Coz written interview inaweza kufanyika siku moja tu. Let's say jumamosi kama ambavyo hufanyika kwa interview nyingine. Ambapo mostly madarasa yanakuwa hayatumiki. So siamini kwamba mpaka likizo wakati jumamosi tu Kuna room ya kuifanya.

Hili paper nilifanya nilikimbiza sanaaaa kwenye written,Sio kweli
Walitoa tangazo lao mwezi wa tano na wakaita watu kwenye interview mwezi wa 6.
View attachment 2127408
View attachment 2127411
Myself written ninyoosha fresh. Oral haikuwa ngumu coz maswali almost yote yalitolewa kwenye written. From there the rest was a history.Hili paper nilifanya nilikimbiza sanaaaa kwenye written,
Ikawaje hukupita oral mkuu?Hili paper nilifanya nilikimbiza sanaaaa kwenye written,
Sijui labda connectionIkawaje hukupita oral mkuu?
Mliwaita kweliAfter two weeks from tomorrow. Tutawaita.
Kumekucha asubuhi au kumekucha TRA mkuu. Mbona unatuchanganya? Be specific kidogoHaya sasa kumekucha,tukapambane