Mkeka wa TRA lini?

Mkeka wa TRA lini?

Taasisi Moja au Shirika kuajili watu zaidi ya 100 kwa mkupuo mmoja. Lazima mpuliza kipenga atoe go ahead. Tatizo liko hapa. Basi hamna kingine. Mambo ya Ukumbi sijui maazimio ya Sherehe au Bajeti ni mawazo yenu tu..
Kwaheri tukutane mkeka ukitoka
 
Taasisi Moja au Shirika kuajili watu zaidi ya 100 kwa mkupuo mmoja. Lazima mpuliza kipenga atoe go ahead. Tatizo liko hapa. Basi hamna kingine. Mambo ya Ukumbi sijui maazimio ya Sherehe au Bajeti ni mawazo yenu tu..
Kwaheri tukutane mkeka ukitoka
Nadhani mpaka wamewaruhusu utumishi kutangaza mpuliza kipenga alikuwa na taarifa,nahisi nayo sio sababu pia
 
Thread closed.
Hizo nafasi wamekwisha peana wenye nchi yao.sisi wakulima wa jembe la mkono tugange yajayo
 
I will be the last one to accept this. Coz sio mara ya kwanza PSRS kupublish job advert halafu shortlisting ya written interview ikadelay kwa muda. Everything needs patience so let's keep holding.
 
I will be the last one to accept this. Coz sio mara ya kwanza PSRS kupublish job advert halafu shortlisting ya written interview ikadelay kwa muda. Everything needs patience so let's keep holding.
I likecit kaka wach waaminio tayari wamewekwa watu waendelee kuamini hivyo ila majina yatatoka tu
 
I will be the last one to accept this. Coz sio mara ya kwanza PSRS kupublish job advert halafu shortlisting ya written interview ikadelay kwa muda. Everything needs patience so let's keep holding.
Watu wasahaulifu sana mwaka 2020 UTUMISHI walitoa kazi za TRA deadline ilikua FEBRUARY 2020 afu written intavuu ikafanyika JULY 2020 so hakuna cha ajabu hapo...

Afu ka mme note wale wakongwe wa ku apply bila mafanikio mara nyingi TRA intavuu zao huwa July flan hvi so tulieni
 
Watu wasahaulifu sana mwaka 2020 UTUMISHI walitoa kazi za TRA deadline ilikua FEBRUARY 2020 afu written intavuu ikafanyika JULY 2020 so hakuna cha ajabu hapo...

Afu ka mme note wale wakongwe wa ku apply bila mafanikio mara nyingi TRA intavuu zao huwa July flan hvi so tulieni
Sio kweli
Walitoa tangazo lao mwezi wa tano na wakaita watu kwenye interview mwezi wa 6.

Screenshot_20220222-152847_Opera Mini.jpg


Screenshot_20220222-153224_Opera Mini.jpg
 
Umeamua kumbishia tuu, ila ukweli ni kuwa zilianza kutangazwa za Tax Management officers then baadae zikatangazwa za Customs ndio usahili ukaitishwa.
Sasa si uweke ushahidi kama mimi nilivyoweka mkuu?
 
Back
Top Bottom