Ipo kubwa Sana..Mkuu kwani TASAC na TRA kunatofauti gani..
Ipo kubwa Sana..Mkuu kwani TASAC na TRA kunatofauti gani..
Mkuu,we endelea kuvuta bangi zako tu,hakuna aliyekuomba umfariji hapa.Atapewa maneno ya kufarijiwa na mkewe.
Kwani wewe ambavyo umefanya interview huko JKT,JW, POLICE, TAKUKURU na kote huko umepigwa chini na bado uko kitaa unapambana na hali yako Ni Nani anakupa maneno laini laini ya kukufariji?
Wewe ungekua hulii kwenye huu uzi unatafuta nini sasa,kama sio njaa tu kama mimi?Wewe endelea kulia Lia tu, wanaume wa kukufariji tuko standby 😄😄😄
Vp unataka nn na ww upatiwe bangi, stress za ajira zitakuvuruga dogoNaona mods wamekupa na Ban tayari mkuu.Punguza bangi hizo



We pia unazo,ndio maana umeamua kujipooza na wida.Vp unataka nn na ww upatiwe bangi, stress za ajira zitakuvuruga dogo![]()
Sikatai ila karibu kitu Cha makushabu hapa, kinakupeleka all the way straight to California Bongo bahati mbayaWe pia unazo,ndio maana umeamua kujipooza na wida.


Daah mkuu nimesoma forestry lakini ktk shahada yangu nina vikozi vya uchumi nimesoma vingi naweza apply ?Ndugu zangu ECO BANK TZ WAMETOA TANGAZO LA KAZI KWA COURSE ZOTE ZA BIASHARA MNAWEZA KUSEARCH AU KUFUNGUA LINK HII
Jaribu kaka km itakuwa related basi mungu aweke wepesiDaah mkuu nimesoma forestry lakini ktk shahada yangu nina vikozi vya uchumi nimesoma vingi naweza apply ?
Nina Uhakika hautoki. Nina Uhakika kupandisha ujira ni sababu kuchelewa/kuwekwa pending kwa ajira Mpya(Kwa baadhi ya Taasisi/Mashirika).. Nina Uhakika wanasubiri mpuliza kipenga alieko Serikalini atoe go ahead ndo waachie mkeka. Kipenga hakipulizwi leo.Stay tunned saa yoyote kuanzia leo mkeka unatoka.
Nina Uhakika hautoki. Nina Uhakika kupandisha ujira ni sababu kuchelewa/kuwekwa pending kwa ajira Mpya(Kwa baadhi ya Taasisi/Mashirika).. Nina Uhakika wanasubiri mpuliza kipenga alieko Serikalini atoe go ahead ndo waachie mkeka. Kipenga hakipulizwi leo.
Iko hivi kuelewekea May Mosi Kuna********
Sahihi kabisa mkuuNadhna Ni ukumbi umekuwa tatizo ikumbukwe Ni watu wengi wanaudhuria hyo interview nadhani chuo zikifungwa mwez huu utaona tangazo pendwa
Mipango yao ilikuwa bado hawajaisettle ila kwa taarifa za ndani kabisa ni kwamba msubiri majina yapo na yameshaandaliwa isipokuwa ni go ahead tu na IT kubofya kuya upload. Pia tufaham kama ndg alivyo nena hapo juu watu wafunge chuo ndo mamb huenda yakawa sawa ila vuteni subraNadhna Ni ukumbi umekuwa tatizo ikumbukwe Ni watu wengi wanaudhuria hyo interview nadhani chuo zikifungwa mwez huu utaona tangazo pendwa
Hakika mkuu, hiyo ndio sababu kuu.Nadhna Ni ukumbi umekuwa tatizo ikumbukwe Ni watu wengi wanaudhuria hyo interview nadhani chuo zikifungwa mwez huu utaona tangazo pendwa
Vyuo vinafungwa week mbili zijazo..kwa nini wasiyatoe sasa ili watu wajue waanze kuandaa hata nauli?Mipango yao ilikuwa bado hawajaisettle ila kwa taarifa za ndani kabisa ni kwamba msubiri majina yapo na yameshaandaliwa isipokuwa ni go ahead tu na IT kubofya kuya upload. Pia tufaham kama ndg alivyo nena hapo juu watu wafunge chuo ndo mamb huenda yakawa sawa ila vuteni subra
Umezitoa wapi hizi nyepesi mkuu?Stay tunned saa yoyote kuanzia leo mkeka unatoka.
Bila shaka haya ni mawazo yako binafsi, maana kwa logic ya kawaida tuu ajira hutokana na budget au maazimio ya sherehe? (na hata maazimio ya sherehe huenda kwa mlingano wa ki budget), nafikiri kutoka kwa shortlist au kutokutoka ni kutokana na arrangement za muajiri na wenye mamlaka ya kuendesha zoezi la usahili.
Muhimu ni kuwa na subira ili muweze kumvuta kheri.
Wasalaam.
Maazimio ya Sherehe 🤔🤔🤔Bila shaka haya ni mawazo yako binafsi, maana kwa logic ya kawaida tuu ajira hutokana na budget au maazimio ya sherehe? (na hata maazimio ya sherehe huenda kwa mlingano wa ki budget), nafikiri kutoka kwa shortlist au kutokutoka ni kutokana na arrangement za muajiri na wenye mamlaka ya kuendesha zoezi la usahili.
Muhimu ni kuwa na subira ili muweze kumvuta kheri.
Wasalaam.