No! Usilipize kisasi, utakuwa unaongeza ugonjwa juu ya ugonjwa. Akupe kwanza sababu za kuamua kucheat, yawezekana ana sababu za msingi.. Pole sana..
Hizi ndoa hz dah yesu tu ashuke.
Mwanamke kucheat mara nyingi huwa kuna sababu sio kama wanaume wao ni taamaa tu
Jamani wa jamii, naombeni ushauri wa bure
Mke wangu kanicheat kwa wanaume mbalimbali, nilipomwuliza mara ya kwanza ilkataa na kutaka kuapa through bible, baadaye baada ya kumbana na kuleta vithibiti kakubali kuwa kweli alikuwa ananicheat nifanyaje? je na mie nilipize kisasi?
Mkuu pole sana kwa ukatili uliofanyiwa...! Lakini kwa maelezo yako ya pili, nahisi kama vile hata wewe ulipatikana kwa njia hiyo ya kugharamiwa....! Na kama ndivyo ilivyo, basi nikijua kabisa kuwa ukweli unauma, niseme tu kuwa huo ni hulka yake ....!Wapendwa, hana hata sababu, kitandani mwenyewe anaridhika na kunipa BIG UP, kimato sio kibaya, tunakaa wkenye nyumba yetu, tuna watoto, tuna kigari cha kutembelea,nimemwuliza sababu ni nini anasema shetani kampitia, hao wanaume anaonicheat nao hawana lolote, yeye ndo anachukua pesa zangu na kwenda kulipia hotel. Wanaume wotw hao kawapata through internet charting, nifanyaje mwenzenu
je na mie nilipize kisasi?
Haya ma internet haya jamani, wanawake tuwe wagumu jamani sio kila akutongozae ndio lazima muonane,au umkubalie looo wengine ndio wamefanya vijiwe vya kutongozana , inasikitisha sana, tatizo ni ulimbukeni tuWapendwa, hana hata sababu, kitandani mwenyewe anaridhika na kunipa BIG UP, kimato sio kibaya, tunakaa wkenye nyumba yetu, tuna watoto, tuna kigari cha kutembelea,nimemwuliza sababu ni nini anasema shetani kampitia, hao wanaume anaonicheat nao hawana lolote, yeye ndo anachukua pesa zangu na kwenda kulipia hotel. Wanaume wotw hao kawapata through internet charting, nifanyaje mwenzenu
<br />Msamehe tu kaka, kaa nae chini uzungumze nae kwa kituo akueleze nn kilipelekea kukucheat, kisha fanyia kazi hayo mapungufu.. Kila la kheri.. ndoa ni kuvumiliana!