Mke wangu simuelewi

Mke wangu simuelewi

Mmh mkuu hilo nijipuuu nalo...fanya utafit utagundua kitu
 
Simlaumu mwanamke bali wewe mume wake, ni mdhaifu jua kuwa mwanamke ni mwanasaikolojia mzuri. Amefikia hatua ya kukutamkia hayo baada ya kukusoma na kufahamu madhaifu yako.
Mwanamke anathubutu kukugusia kuhusu ex wake?! Aisee!
 
Unatuaibisha, ww ni mwanaume Fanya maamuzi ya kiume. Anataka aachana na ex hatak aachane na ww.Unadhan mtu wa tabia hizo Kama hatak kubadilika utaishi nae Kama mzigo mpaka unazeeka. Ww ni baba kiAfrika ni final sayer wa nyumba.
 
Wake up. Unagongewa kibaba Lol. Kila akikumbuka mikito ya zamani anaona aisee hapana....tehe
 
Acha ubwege wewe piga chini hiyo muntu chukua kitu ingine mpyaa!!"
 
Mleta mada shetani nae ana nguvu, Na hata sasa kishachukua nafasi yako, Funga Na kuomba kwa kuvaa magunia, utapata njia
 
Hapo kiongozi unagongewa..... Ya kale hayanuki..


Mwanamke asiyekusikiliza unachomueleza piga chini .... Mtaani wanawake wapo wengi wanaohitaji kuolewa.


Kama unataka kuishi na stress endelea tu.
 
Ndugu wana JF,

Mimi ni kijana mwenye mke na nnamtoto kwa sasa, nilianza mahusiano na mke wangu akiwa ndo amemaliza chuo, maisha yaliendelea ila ugomvi wa hapa na pale kwenye Mahusiano yetu umekuwa wakawaida hadi tumeoana.

Tatizo kubwa lililokuwa linatugombanisha ni mahusiano yake ya nyuma na watu wake(ex-boyfriends)kuwa alikuwa ana penda sana kuwasiliana nao.

Nilipo gundua nilimkataza nae akadai hamna chochote kinacho endelea rofauti na urafiki.

Tumeishi hivyo kwa muda hadi sasa ni mwaka mke wangu amekuwa mwajiriwa selikarini-leo hii nimeingia kwenye ugomvi baada ya wife kunifuata na kuniambia ex-wake flani anashida anaomba amkope wife hela.

Mimi alipo niambia nikaweka sababu tabia ya mawasiliano na ma-ex nilisha mkataza, ila Leo kaniambia hawezi acha kumsaidia kwani kwake huyo mtu ameshakuwa ni kama ndugu kwani hata ndugu zake wana mfahamu na na anawasiliana nao wote, hivyo mm siwezi kumzuia kumusaidia na hato acha kuwasiliana nae.

Je mimi nifanyeje? Wife ana haki ya kufanya hivyo au hili ni tatizo?
Dah story yako inatia hasira. Nakushauri ndoa ni wewe na yeye .mwambie achague moja. Aendelee naye kwakua ndugu wanamjua. Au wewe ambaye ndugu hawakujui. Pia chukua namba ya huyo ex wake, mpige marufuku. Aachane na mkeo . to be Straight unaibiwa.
Mwanamke mzinzi kihivyo ukimvumilia anaweza hata kukutoa Roho, kwa ushauri wa ex wake.
 
Ndugu yangu..hakuna ndoa hapo. Muda wa kuchukua maamuzi magumu ni sasa la sivyo hapo baadae utajuta kupoteza muda na mwenzi wako.
 
Mke wako anapowasiliana na kusisitiza kuendelea kuwasiliana na Ex wake anakukosea heshima tu period. Yaani hiyo ndoa haina maisha marefu sana
 
Hivi wewe mtos mada una umri gani? Huoni kwamba uliharakisha kumuoa wakati yeye hajaamua kuolewa kwa sababu umesema ugomvi ulikuwepo hata kabla ya kuoana! Naamini ugomvi huu ni kwasababu ya ma-ex wake ambao bado hataki kuwaacha, anaendelea kuhusiana nao. Chagua kusuka ama kung'oa.
 
Acha kulalamika.Wewe mwanaume fanya maamuzi ya kiume.Hata kama kakuzid kipato basi si angejioa mwenyewe ina maana anakuhitaji.Mwambie hakuna mawasiliano na Xs na mkopo hakuna.Acha ungese asikutawale.

Vijana wa siku hizi wanawaiga mama zao na wasichana wanawaiga babazao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom