Hahahapendwa mbona mnafanya maisha kuwa magumu?????
Hao ni ex tu...kiufipi wanakuwa binadamu kama binadamu wengine hawana uspecial..... haswa kama hawakuachana kwa mabifu
Kusaidiana binadamu ni kawaida.
Mawasiliano ya mara moja moja kama binadamu sio big deal
Unless kama mawasiliano 24/7 hapo awe na mashaka na achunguze ni story gani zinazopigwa...... lakini kama ni mara 2-3 kwa mwaka...... haina shida bana
Heri ni wao wanaooana wakiwa bikra, maana habari za ex zinakuwa hazipo. Na wakidumu kwa uaminifu wanakuwa na uhuru wa kweli.
Huyo mkeo hajui maana ya ndoa, pili hajui namna ya kujenga ndoa yake kwa kuepuka vihatarishi vya kuvunja ndoa.
Hicho pia ni kiburi na kinatokana na ukweli kwamba amesoma na ana mshahara wake mwenyewe. Kwake huyo mkeo suala la kumtii mume ni msamiati.
Lakini kulikuwa na hizi dalili tangu mwanzo, haukufanya vema kuzidharau.
Kwa kuwa kesha amua sidhani kama utamzuia. Mwache afanye lakini mwambie kwa uwazi kuwa anafanya bila ridhaa yako. Wewe umekataa.
Cha msingi jitahidi kufuatilia kwa kadri utakavyoweza kujua kama kuna zaidi ya mawasiliano.
Usi entertain ujinga huu anao fanya mkeo; achague moja, kuishi na wewe with all respect au aende aishi na ex boyfriends wake. Ndugu yangu inakuhitaji ufanye maamuzi mazito. Usikubali upuzu huu uendelee coz ulishamweleza.Ndugu wana jF mm ni kijana mwenye mke na nnamtoto kwa sasa, nilianza mahusiano na mke wangu akiwa ndo amemaliza chuo, maisha yaliendelea ila ugomvi wa hapa na pale kwenye Mahusiano yetu umekuwa wakawaida hadi tumeoana, tatizo kubwa lililokuwa linatugombanisha ni Mahusiano yake ya nyuma na watu wake(ex-boyfriends)kuwa alikuwa ana penda sana kuwasiliana nao, nilipo gundua nilimkataza nae akadai hamna chochote kinacho endelea rofauti na urafiki.tumeishi hivyo kwa muda hadi sasa ni mwaka mke wangu amekuwa mwajiriwa selikarini-leo hii nimeingia kwenye ugomvi baada ya wife kunifuata na kuniambia ex-wake flani anashida anaomba amkope wife hela. Mm alipo niambia nikawaka sababu tabia ya mawasiliano na ma-ex nilisha mkataza, ila Leo kaniambia hawezi acha kumsaidia kwani kwake huyo mtu ameshakuwa ni kama ndugu kwani hata ndugu zake wana mfahamu na na anawasiliana nao wote, hivyo mm siwezi kumzuia kumusaidia na hato acha kuwasiliana nae. Je mm nifanyeje? Wife ana haki ya kufanya hivyo au hili ni tatizo?
Ndugu wana JF,
Mimi ni kijana mwenye mke na nnamtoto kwa sasa, nilianza mahusiano na mke wangu akiwa ndo amemaliza chuo, maisha yaliendelea ila ugomvi wa hapa na pale kwenye Mahusiano yetu umekuwa wakawaida hadi tumeoana.
Tatizo kubwa lililokuwa linatugombanisha ni mahusiano yake ya nyuma na watu wake(ex-boyfriends)kuwa alikuwa ana penda sana kuwasiliana nao.
Nilipo gundua nilimkataza nae akadai hamna chochote kinacho endelea rofauti na urafiki.
Tumeishi hivyo kwa muda hadi sasa ni mwaka mke wangu amekuwa mwajiriwa selikarini-leo hii nimeingia kwenye ugomvi baada ya wife kunifuata na kuniambia ex-wake flani anashida anaomba amkope wife hela.
Mimi alipo niambia nikaweka sababu tabia ya mawasiliano na ma-ex nilisha mkataza, ila Leo kaniambia hawezi acha kumsaidia kwani kwake huyo mtu ameshakuwa ni kama ndugu kwani hata ndugu zake wana mfahamu na na anawasiliana nao wote, hivyo mm siwezi kumzuia kumusaidia na hato acha kuwasiliana nae.
Je mimi nifanyeje? Wife ana haki ya kufanya hivyo au hili ni tatizo?