Be serious Mpendwa. 12 times outta 10 hakuna jema litakalotokea kwa kuwa na mawasiliano/ukaribu na ex/exes (unless mna mtoto).
Nadhani Jerry Seinfeld aliwahi kusema kitu kama, exes being friends is like 2 magicians trying to entertain each other (not his exact words). You already know each other's trick.
With an Ex, it didn't work out, for a reason. The next is an upgrade (ex + what ex isn't), unless you got messed up judgement. Being in touch with him/them, ni kumwambia aliyepo kuwa he/she isn't really good enough for you. Sisemi muwe maadui, ila mawasiliano/ukaribu...Hell NO.
Besides, Jamaa kashamwambia hapendi. So huyo mwanamama anakuwa m'binafsi.
Yes yes. Thanx, Chief.Mkuu Paulo,
Hayo maneno ya Jerry ni haya.....
Even if you had a relationship with someone,
Well lets say especially if you've had a relationship with someone.
And you try to become friends afterwards
Very difficult isn't it
It's hard because you know each other so well
You know
You know all each others tricks
It's like 2 magicians trying to entertain each other
You know
The one goes "look a rabbit"
The other one says "so"
Sasa hapo hauhitaji kupima na futi kamba......wanamalizia walichobakiza
Hahahapendwa mbona mnafanya maisha kuwa magumu?????
Hao ni ex tu...kiufipi wanakuwa binadamu kama binadamu wengine hawana uspecial..... haswa kama hawakuachana kwa mabifu
Kusaidiana binadamu ni kawaida.
Mawasiliano ya mara moja moja kama binadamu sio big deal
Unless kama mawasiliano 24/7 hapo awe na mashaka na achunguze ni story gani zinazopigwa...... lakini kama ni mara 2-3 kwa mwaka...... haina shida bana
Hapana usikubali hakikisha mawasiliano yao yanaisha,
Inaonekana wife wako bado anachepuka na ex-boyfriend wake.kitu ambacho ni kibaya kama anawapenda zaidi kuliko wewe si angeolewa nao kwa mini aliwaacha akaja kwako.
Haiwezekani yao wewe umtunze bado tena akuchune apeleke kwa hawala wake.unajua mkeo ni punguani haiingii kichwani mwanamke azushe ugomvi eti umpe hela nitumie hawala wake.
Tunatofautiana maamuzi ila ingekuwa Mimi nampa talaka faster aende kwa hawala wake wakaswampe huko.mke mzinzi sana hiyo,pole broo
Hivi ex ni simba? Ukimuona kimbia?
Je wanamahusiano ya kimapenzi na hao ex??
Seems like she has some baggage from the previous relationships she's refusing to let go. Kama hupendi na umeshamwambia ila hasikii, then na wewe kuwa tu ex muwe marafiki/ndugu.
Mpendwa, hebu acha masihara. Kuna umuhimu gani wa kuwasiliana/kuwa karibu na ex, tena hapa ni exes kabisa?
If she's willing to put her marriage in danger to help the ex, then suala la kukumbushia huitaji jury for conviction.
Bro umenifilisi manenoBe serious Mpendwa. 12 times outta 10 hakuna jema litakalotokea kwa kuwa na mawasiliano/ukaribu na ex/exes (unless mna mtoto).
Nadhani Jerry Seinfeld aliwahi kusema kitu kama, exes being friends is like 2 magicians trying to entertain each other (not his exact words). You already know each other's trick.
With an Ex, it didn't work out, for a reason. The next is an upgrade (ex + what ex isn't), unless you got messed up judgement. Being in touch with him/them, ni kumwambia aliyepo kuwa he/she isn't really good enough for you. Sisemi muwe maadui, ila mawasiliano/ukaribu...Hell NO.
Besides, Jamaa kashamwambia hapendi. So huyo mwanamama anakuwa m'binafsi.
Teh teh..Mpendwa naamini unatania
Bro umenifilisi maneno
Teh teh..Mpendwa naamini unatania
Bro umenifilisi maneno
Hahahapendwa mbona mnafanya maisha kuwa magumu?????
Hao ni ex tu...kiufipi wanakuwa binadamu kama binadamu wengine hawana uspecial..... haswa kama hawakuachana kwa mabifu
Kusaidiana binadamu ni kawaida.
Mawasiliano ya mara moja moja kama binadamu sio big deal
Unless kama mawasiliano 24/7 hapo awe na mashaka na achunguze ni story gani zinazopigwa...... lakini kama ni mara 2-3 kwa mwaka...... haina shida bana
Mpendwa mwanamke/mwanaume uliyewahi kunjunjana nae ni rahisi sana kurudia tena kunjunjana nae(zaidi kama bado mna mahusiano ya karibu) kuliko mtu ambaye hamjawahi kabisa..Iko hivyo..Mpendwa basi tunatofautiana....
Ex? Mnaanzia wapi kunjunjuana?????yakhhhhhh
Nenda kamshtaki kwa wazazi wake, hlf angalia watakujibu vp maana ashasema hata nduguze wanajua kua anawasiliana na huyo ex wake,
Isijekua wafanywa chuma ulete,
Ila kweli mkeo ni kiburi na jeuri ila hiyo ya kuwasiliana na wapenzi na kumsaidia juu, hehehehe ni kubwa kuliko!!
Kamata mwizi men!!!!!!!!!!!! Hapa unaibiwa zabibu zako, ila unaonekana Mr lia, lia na ndio maana mkeo kapata kichaka cha kujificha....Ukishindwa kufanya maamuzi na kuwa mwanaume basi na ujiandae kisaokolojia maana siyo muda kitanda kitazaa haramu kama bado.