Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,925
Wala hujakosea kbs,Naona Bishanga, nitonye, Erick52 wanataka kutuletea uzibe!
Inabidi tuwape kamati nyeti za maandilizi ili tuwakate ulimi!!
Inabidi Bishanga awe mweka hazina na mwenyekiti wa kamati ya maandalizi kwan hana dhiki kbs ni tajiri so mshiko utakuwa salama kbs,
Nitonye ungemchagua km bestman ingekuwa poa na angependezesha picha then Eric52 huyu mfikie mwenyewe uone wapi patamu pa kumfaa na akawa kimya kbs!