luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,153
- 21,798
Gf gani asiyetaka hela
shangaaaaa!
Gf gani asiyetaka hela
Hii sio issue serious kama unavyotaka iwe. Dunia siku zote huwakumbuka watu waliochangia kuifanya dunia kuwa sehemu salama zaidi kwa maisha. Kuzaa ni jambo la kawaida sana na mara nyingi ni kipaumbele kwa jamii za watu duni (maskini). Ndio maana utashangaa nchi kama za Scandinavia zinatoa motisha kwa raia wake ili wazae. Wao hawana "hamasa". Sisi tulio maskini kwa uduni wa fikra fahari ni kuwa na watoto hata kama uwezo hauruhusu.
ushauri wa kukupa pesa uweze kuhudumia nyumba ndogo??
labda anataka ww umtafutie mtt wa 1...!!
Sie waafrika tumezidi, kama ni watoto hata mbwa anao. Kaa na mkeo mwikubali hiyo hali muishi maisha ya furaha na amani. Katika unamwamini Allah kwa nini usiamini hicho kikombe kakupangia.
Unataka ushauri wa wewe kuoa au wa kipato???
mimi mwenyewe natafuta bado!!!
Wadau ni mwaka wa nne sasa toka nmeoaa lakini mpaka sasa sijapata mtoto na tumezunguka kwa madaktari kibao tatizo kagundulika analo mke Wang hawezi kuzaa sasa wadau mimi natamani sana kuwa na mtto na mke Wangu kaisha niruhusu nyumba ndogo nfanyaje ukizingatia kipato ndo ivo tena!
ngoja nichangamkie fursa...na mm niitwe bae na rubi:A S wink:
Wadau ni mwaka wa nne sasa toka nmeoaa lakini mpaka sasa sijapata mtoto na tumezunguka kwa madaktari kibao tatizo kagundulika analo mke Wang hawezi kuzaa sasa wadau mimi natamani sana kuwa na mtto na mke Wangu kaisha niruhusu nyumba ndogo nfanyaje ukizingatia kipato ndo ivo tena!
Mm n me isKama ulioa kanisani haina jinsi kaka ulikula mwnyw kiapo kwa shida na raha kwa afya na ugonjwa mtegemee Mungu tu!km sio mkristu basi kuna namna ya kufanya!
Wadau,
Ni mwaka wa nne sasa toka nmeoa, lakini mpaka sasa sijapata mtoto na tumezunguka kwa madaktari kibao.Ttatizo kagundulika analo mke wangu hawezi kuzaa. Sasa wadau mimi natamani sana kuwa na mtoto na mke wangu kasha niruhusu nyumba ndogo.
Nifanyaje ukizingatia kipato ndo ivo tena?