Naomba ushauri juu ya kupambana na mke wangu anayeninyanyasa kwa sababu anataka kutumia sheria kunifilisi

Kimla

JF-Expert Member
Jun 8, 2008
3,812
6,602
Wadau, nina mke niliyeanza naue mapenzi mwaka 2010 baadaye akaenda kusoma certificate na akamaliza Diploma mwaka 2015.

Wakati huo aliniomba nimusaidie karo na matumizi shuleni na wakati walikizo alikjwa anakuja kwako anakaa kiasi na kuondoka. Mnamo mwaka 2016 alipata mtoto akaka kwa shemeji yake. Nami niliendelea kugaramia Kila kitu kama baba.

Mwaka 2020, niliamua kukaa naye na akahamia rasmi kwenye nyumba niliyokuwa nomejenga baada ya kufabya kazi kwa zaidi ya miaka 8kutokana na mishahara etc.

Sasa tangia amekanyaga kwangu kwanza anachukia hata watoto wandugu wanaopita kwetu kwenda masomoni.

Pili anaomba hera labda laki 3 ghafla nje ya bajet na ukiwa huna anakufungia nje ya nyumba au atapasua vioo vya nyumba au atachana nguo zangu kwa wembe.

Katika utafiti wangu nimesikia kunafygu wamemushauri anifanyie vituko ili ni overact harafu anipeleke polisi na mahakamani, nifungwe harafu nyumba na baathi ya pesa zilizoko benka amabzo sijamwabia zilizo basi zitafishwe kwa kisingizo za haki kupewa mwanamke kutunza yeye na mtoto.

Juzijuzi aliondoka na laptop yangu ikiwa na critical information na sijui Iko wapi inagea kakili kusema kaweka bond apate laki 5 alikuwa nazo, nimemuuliza aliiweka bond Kwa nani hataki kabisa kusema.

Huyu mwanamke sijatoa mahari sababu tangia kufika niliona vituko hadi nikashangaa hivyo sijapata moyo wakutoa mahari na hataki kuachika.

Wadau naombeni njia ipi Bora yakufanya ili likitokea la kupelekana polisi na mahakamani basi nia yake yakunidhurumu mali chache nilizonazo isifanikiwe na tuachane salama.

Nawashukuru sana
 
Kisa chako kimenikumbusha mbali sana. Hasira zimefufuka upya kabisa

Wanawake wengine ni Kvma/mikvndu tu aisee..

Kuna mmoja alimfanyia visa mtu wangu wa karibu kisa tu jamaa alijaa akamuweka ndani kwa kama mwaka hivi, kisha akayakanyaga zaidi wakazaa. Sasa baada ya kuzaa tu mtoto ana miezi hata mwaka haujafika mwanamke akaanza visa. Hataki ndugu wa mwanaume aje nyumbani, hata sisi marafiki zake hataki tuje. Akawa kama kichwa kwenye hio familia.

Jamaa alifanyiwa visa hadi akakonda, mtu amehangaika na biashara miaka na miaka kajenga nyumba yake lakini hana amani.

Huyo mwanamke akawa anampa vitishio hivohivo eti kisheria yeye ni mke wake na mali hizo ni zao wote, na anasema hadi hadharani mbele ya mfanyakazi wa ndani wakigombana humo.

Ilikua noma ikabidi tutumie sheria na kuipindisha kweli kweli hadi yule malaya akaondolewa pale na visenti kadhaa tu, na mtoto baadae ilifanyika mbinu akarudi kwa baba ake. Ila hadi hapo tulikaa jopo la wahuni na ma-mafia kuhakikisha mwanetu hayumbishwi, trust me hakuna battle ngumu kama battle ya kisheria dhidi ya mwanamke ambae hujamuoa kihalali lakini umekaa nae ndani na kumzalishia humohumo ndani. Aisee tuwe makini sana na hilo
 
Kisa chako kimenikumbusha mbali sana. Hasira zimefufuka upya kabisa

Wanawake wengine ni Kvma/mikvndu tu aisee..

Kuna mmoja alimfanyia visa mtu wangu wa karibu kisa tu jamaa alijaa akamuweka ndani kwa kama mwaka hivi, kisha akayakanyaga zaidi wakazaa. Sasa baada ya kuzaa tu mtoto ana miezi hata mwaka haujafika mwanamke akaanza visa. Hataki ndugu wa mwanaume aje nyumbani, hata sisi marafiki zake hataki tuje. Akawa kama kichwa kwenye hio familia.

Jamaa alifanyiwa visa hadi akakonda, mtu amehangaika na biashara miaka na miaka kajenga nyumba yake lakini hana amani.

Huyo mwanamke akawa anampa vitishio hivohivo eti kisheria yeye ni mke wake na mali hizo ni zao wote, na anasema hadi hadharani mbele ya mfanyakazi wa ndani wakigombana humo.

Ilikua noma ikabidi tutumie sheria na kuipindisha kweli kweli hadi yule malaya akaondolewa pale na visenti kadhaa tu, na mtoto baadae ilifanyika mbinu akarudi kwa baba ake. Ila hadi hapo tulikaa jopo la wahuni na ma-mafia kuhakikisha mwanetu hayumbishwi, trust me hakuna battle ngumu kama battle ya kisheria dhidi ya mwanamke ambae hujamuoa kihalali lakini umekaa nae ndani na kumzalishia humohumo ndani. Aisee tuwe makini sana na hilo
Je kwa haya yote aliyonifanyia kisheria ni nini nifanye ila hata tukienda mbele basi yeye aondoke kapa.Mtoto Yuko darasa la nne na anamiaka 9
 
Huyo ni tapeli kama tapeli wengine tu, kiufupi uko na jambazi
Cha kufanya tafuta mwanasheria wa masuala ya ndoa akusaidie na kufungua jalada
Kama nia yake mbaya hawezi pata kitu
Rekodi kila tukio na hata picha
Kuhusu laptop ungemshtaki kwa wizi ila sijui mnaishije na watu wa hivyo
Umasikini ni Laana jamani
 
Maandishi yako yanaonesha si mtu mwenye misimamo, Sio Leader na unaendeshwa na huyo mwanamke kwa kigezo cha mkeo/mzazi mwenzio, bro amka, kwenye kikao chetu hatumtambui huyo bidada, unless otherwise kuna mengine umeficha yanayokuhusu kupelekea hayo.🙌🏾
 
Je kwa haya yote aliyonifanyia kisheria ni nini nifanye ila hata tukienda mbele basi yeye aondoke kapa.Mtoto Yuko darasa la nne na anamiaka 9
Mkuu niwe mkweli, hio battle ukiipeleka kisheria mapema utaumia, mwanamke anasikilizwa ni hatari. Na wengine wanafikia hadi hatua ya kugawa uchi wao kwa hao watoa haki. Kuna muda mwanamke ndio kafanya makosa yoote ila haki atapewa yeye.

So cha muhimu kama una mtu wako wa karibu mwenye uzoefu na sheria mtafute akusukie beat, huyo anapigwa kwanza beat la kisheria lakini lisitoke kwako, litoke ghafla na kwa mtu mwingine kabisa ila uwe na ukaribu nae sababu hizo kesi bila commitment ya mtu wa sheria anakushugulikia hautoshinda.

Akijaa kwenye beat mwanasheria ampe 'easy way out' kwamba muachane na kuna mkataba mnaweza saini wa matunzo tu na fidia, na hio mikataba huwa inatolewa na uongozi level ya kaya kama sio mtaa. Mie nakumbuka kwa issue yetu waliirudisha mtaani na zogo likaishia pale. Yule mwanamke alisainishwa mkataba zikatolewa kopi 2 lakini alivyokua na kichaa eti akaichana kopi yake palepale, but it did not matter sabab issue ilikua sorted tyr.

Mara nyingi ni mkataba tu wa fidia kwa kuwa haukua nae kwenye official marriage, pia na malezi ya mtoto. Ilikua 2012 nakumbuka jamaa aliacha 7m pale kwa huyo mwanamke
 
Back
Top Bottom