definition
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 972
- 1,584
una hela?? isiye ikawa kama mtoa mada yeye pekeyake hazimtoshi halafu anawaza kuongeza majukumu mengine
nina gari aisee...najua hapo ata iweje uwezi nipiga cha mbavu...!!!
una hela?? isiye ikawa kama mtoa mada yeye pekeyake hazimtoshi halafu anawaza kuongeza majukumu mengine
Sie waafrika tumezidi, kama ni watoto hata mbwa anao. Kaa na mkeo mwikubali hiyo hali muishi maisha ya furaha na amani. Katika unamwamini Allah kwa nini usiamini hicho kikombe kakupangia.
nina gari aisee...najua hapo ata iweje uwezi nipiga cha mbavu...!!!
adapt...mayatima wako ...kibao...nyumba ndogo ni zimwi hajaangalia kwa undani.wadau,
ni mwaka wa nne sasa toka nmeoa, lakini mpaka sasa sijapata mtoto na tumezunguka kwa madaktari kibao.ttatizo kagundulika analo mke wangu hawezi kuzaa. Sasa wadau mimi natamani sana kuwa na mtoto na mke wangu kasha niruhusu nyumba ndogo.
Nifanyaje ukizingatia kipato ndo ivo tena?
mie nataka hela ukinipa naendazitakatisha narudi chukua zingine!
aya bhana ila kwaku smell tyu arufu yako nahisi uko flat screen...:A S wink:
ahahaa ulitaka nifungashie niwe kama wewe??
Sijui kwa nin watu wanashindwa kuikubali hiyo hali, hata huyo mwanamke namshangaa kwa kulikubali hilo, mbona kuna watoto yatima wengi tu, kwanin wasichukue mmoja wakamlea??
maina changamkia fursa hiyo,mpatie huyo mrembo mtoto.huenda kuna kitu exceptional kakiona ktk uzao/ukoo wako ambacho angependa mwanae ambaye wewe atakuita baba azaliwe nacho.muulize mara mbili mbili ila kwa umakini sababu inayo msukuma kulazimisha kuzaa na wewe.uanajua hawa wenzetu(wanawake) huwa na mahesabu ya mbali sana.Dah!! hii inanikumbusha demu fulani huku kwetu Kenya, amenipa stress sana, alikua GF wangu kabla hajaolewa. Sasa mke wa mtu na wameishi zaidi ya miaka mitano bila mtoto, walipopimwa, mwanaume akawa ndiye mwenye matatizo ambayo hayawezi tibiwa.
Demu kila siku kilio cha machozi kila akiona mama amembeba mtoto, sasa keshanijia na kuomba kwa majonzi nimpe mtoto. Mwenyewe nina mke na watoto, ila sasa huyu sijui vipi. Nimemkaushia na kugoma kabisa, lakini hakati tamaa hadi nimevurugwa kiakili. Tatizo langu kubwa ni kwamba nawapenda sana watoto wangu, na huwa nafuatilia kwa makini maisha yao, sasa sioni vile naweza kuwa na mtoto wa nje bila ya mimi kuhusika katika maisha yake.
Sasa kwa mleta mada, binafsi naelewa anachopitia haswa nikikumbuka jinsi huyu mwanamke hunililia, yaani hunichoma kweli lakini sasa ndivyo ilivyo, sitaki kuwa na watoto wa matabaka. Familia inafaa kuwa moja yenye baba mmoja na mama mmoja basi.
kui kadoda11
maina changamkia fursa hiyo,mpatie huyo mrembo mtoto.huenda kuna kitu exceptional kakiona ktk uzao/ukoo wako ambacho angependa mwanae ambaye wewe atakuita baba azaliwe nacho.muulize mara mbili mbili ila kwa umakini sababu inayo msukuma kulazimisha kuzaa na wewe.uanajua hawa wenzetu(wanawake) huwa na mahesabu ya mbali sana.
Dah!! hii inanikumbusha demu fulani huku kwetu Kenya, amenipa stress sana, alikua GF wangu kabla hajaolewa. Sasa mke wa mtu na wameishi zaidi ya miaka mitano bila mtoto, walipopimwa, mwanaume akawa ndiye mwenye matatizo ambayo hayawezi tibiwa.
Demu kila siku kilio cha machozi kila akiona mama amembeba mtoto, sasa keshanijia na kuomba kwa majonzi nimpe mtoto. Mwenyewe nina mke na watoto, ila sasa huyu sijui vipi. Nimemkaushia na kugoma kabisa, lakini hakati tamaa hadi nimevurugwa kiakili. Tatizo langu kubwa ni kwamba nawapenda sana watoto wangu, na huwa nafuatilia kwa makini maisha yao, sasa sioni vile naweza kuwa na mtoto wa nje bila ya mimi kuhusika katika maisha yake.
Sasa kwa mleta mada, binafsi naelewa anachopitia haswa nikikumbuka jinsi huyu mwanamke hunililia, yaani hunichoma kweli lakini sasa ndivyo ilivyo, sitaki kuwa na watoto wa matabaka. Familia inafaa kuwa moja yenye baba mmoja na mama mmoja basi.
kui kadoda11
Dah! kadoda11 issue ni kauli zangu mwenyewe, yaani mtoto lazima nihusike na malezi yake, ila huyu mwanamke anavyotaka ni kwamba nimpe tu mtoto, yeye mwenyewe atajua mengine. Ana kazi nzuri halafu kikubwa ni mke wa mtu, hivyo anaweza kuwa anataka kumdanganya mumewe kwamba ndiye mwenye shughuli. Na hapo ndio tatizo kubwa, nina wivu sana na damu yangu na siwezi ruhusu mwamume amlee mwanangu nikiwa hai na bado nina nguvu.
Anyway, sikua na nia ya kuibadilisha hii mada kuwa yangu, hivyo namshauri mleta mada jameni jaribu jinsi zote za kumwezesha mkeo apate mtoto. Zipo jinsi nyingi kwa wanawake, lakini waume siye hatuna. Ukianzisha mambo ya nyumba ndogo itakula kwako kishenzi halafu mkeo utamuumiza sana maishani mwake. Una sababu za msingi zilizokufanya umpende na kumwoa.
Wadau,
Ni mwaka wa nne sasa toka nmeoa, lakini mpaka sasa sijapata mtoto na tumezunguka kwa madaktari kibao.Ttatizo kagundulika analo mke wangu hawezi kuzaa. Sasa wadau mimi natamani sana kuwa na mtoto na mke wangu kasha niruhusu nyumba ndogo.
Nifanyaje ukizingatia kipato ndo ivo tena?