Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 34,637
- 38,018
Mila gani wewe za kishenzi hizo.... Kuendekeza umalaya tu huko. Kama vipi toa talaka halafu umuoe mle wa marehemuAngalia utapata laana mwanamke, mambo ya mila sio ya kuchezea utaokota makopo ohooooo!!!!