Tegelezeni
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 268
- 124
- Thread starter
- #101
Mkuu kama ni hali nzuri kiuchumi mimi ninao zaidi ya huyo kaka yangu ambaye alikuwa ameajiriwa tu na hakuwahi kumiliki gari.Kwa hiyo umetamani mabaki ya hilo gari na mali nyingine ndio maana unajifanya umeshikilia mila!! loooo hebu uwe na haya kidume wewe! Unaonekana wazi huna upendo zaidi ya kutamani vya kaka yako, nyie ndio mnaowatamanigi shemeji zenu!
Acha bana, endelea kumtunza mke wa marehemu na watoto wake na umuheshimu kama shemeji; USIMRITHI na kumfanya mkeo.
Mke wa marehemu mwenyewe ndio amenichagua nimrithi sasa tatizo liko wapi?