Tegelezeni
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 268
- 124
- Thread starter
- #41
Wake zangu watarithiwa na mdogo wanguKwaiyo ukifa wewe itakuwaje?
Wake zangu watarithiwa na mdogo wanguKwaiyo ukifa wewe itakuwaje?
Ni mila meeeeeenUmebugi meeeeeeeeeeeeeeen!
Kwetu tunajua kuoa hatujui kuacha, kama nimemshauri arudi kwao akafikirie zaidi lakini talaka sitoiMkubwa si umpe hiyo talaka ili kila mmoja ashike "mila" yake tu
Kwa hali hii unataka ushauri au uungwaji mkono wa uamzi wakoWewe wasema, lakini mimi ninafuata mila zetu, hayo mengine hayanihusu, hata mke wangu wakati namuoa alikuwa aanajua kuhusu mila zetu maana kwetu hata shangazi yangu alirithiwa na mdogo wa mumewe aliyefariki mwaka 1985
umebuuuuuuuuuuuuuuuuggggggggggggggggggggggggggggggggggggi meeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeenni mila meeeeeen
Mila zetu mke si ruhusu kumuacha mume, ila wanaweza kutengana tuKwa kuwa kuachwa na mkeo sio uvunjifu wa mila, binafsi naona ni bora akuache ili wewe mshika mila uendeleze mila
pacha wangu FP sasa ni mwaka wa 14 kwenye ndoa yake aje wapi kukutana na hichi kisirani la mitara !!!!!
Subiri na wewe hapo utakaporithiwaumebuuuuuuuuuuuuuuuuggggggggggggggggggggggggggggggggggggi meeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen
Kwa mila na desturi zetu inaruhusu mdogo mtu au kaka mtu kumrithi mke wa ndugu yake pale anapofariki. Sasa namshangaa mke wangu kanuna wiki sasa anataka talaka yake aondoke.
Mitala ina umri?Hapo hata mm roho imefurahi sasa. nilikuwa na hofu kwamba asije vamia kabila kama hili
Mila hii ya kurithi wajane haiko Tanzania nzima, ni baadhi ya maeneo tu.na inafanywa na wale ambao bado wako karne ya 19 kwenda nyuma.Hizi mila ziko Tanzania nzima sema tu siku hizi wengine wanazikana na ndio maana wanapata mikosi katika ukoo na wanakufa kufa hovyo
Alikuwa anajua sana maana hata kwetu shangazi na baadhi ya dada zangu waliofiwa na waume zao wamerithiwa.Mkuu Tegelezeni kabla ya kumuoa huyo mkeo ulimueleza kuhusu utaratibu huo? au umekurupuka tu sasa hivi baada ya kufiwa?
We kwanza kabila gani huu mi nahisi ni usanii mtupu umejaa kwenye hii thread.
Wewe ndio hujui, nani kasema kaka yangu kafa kwa ukimwi?
Acheni uzushi wenu hapa
c.c MtambuziEti ni kwa sababu kikao cha ukoo kilichokaa juzi kimeamua nimrithi mke wa marehemu kaka yangu aliyefariki mwezi uliopita kwa ajali ya gari.
Kwa mila na desturi zetu inaruhusu mdogo mtu au kaka mtu kumrithi mke wa ndugu yake pale anapofariki. Sasa namshangaa mke wangu kanuna wiki sasa anataka talaka yake aondoke.
Hivi hapa nimechanganyikiwa sijui nifanye nini maana mke wangu nampenda lakini pia nisingependa damu ya kaka yangu ipotee. Lazima mila iheshimiwe...
Wewe acha kashfa nakuomba tafadhaliMila hii ya kurithi wajane haiko Tanzania nzima, ni baadhi ya maeneo tu.na inafanywa na wale ambao bado wako karne ya 19 kwenda nyuma.
Hamia karne ya 21 ili tukikushauri utuelewe.Kwenye ukoo wenu ni wangapi wamepoteza maisha kwa kuacha kurithi wajane?
kama mkeo anaomba talaka,maana yake hajakubaliana na uamuzi wako! HUENDA HATA MJANE MWENYE HAKUBALIANI NA HILI UNALOTAKA KUFANYA ila wewe unalala huku unawaza jinsi ya kumsugua huyo mjane tu.