Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,307
- 3,416
Temea chini rafiki yangu, hayo si mambo mazuri kusema hapa JF, mimi siwezi kumuua kaka yangu kwa sababu ya mkewe, mbona wanawake wapo wengi tu, tunachofanya ni kufuata matakwa ya mila zetu.
Yaani wewe bado unajitetea 2,achana na hayo mambo hyo mila co nzuri na haifai kufuatwa ipotezee,na wala usiisambaze,tofauti ya binaadamu nawanyama wengne ni kwamba sisi 2mepewa uwezo wa kufikiri ukifanya hyo mila unayoisema utakuwa huna tofauti na kuku anayempanda mama yake.