Binti wa zamani
Platinum Member
- Nov 19, 2011
- 11,763
- 27,160
ID yako ya zamani si ulikua unajiita Afisa wa usalama au siyo wewe 😅waifu material changamkia fursa😅😅 kwa afisa wa TISS
ID yako ya zamani si ulikua unajiita Afisa wa usalama au siyo wewe 😅waifu material changamkia fursa😅😅 kwa afisa wa TISS
Hakika mkuu.nitajitahidi kuufanyia kazi ushauri wako.Kuwa makini. Siku hizi singo mazazi wengi hawasemi. Utakuja kugundua ana mtoto mwingine wa kabla yako baada ya miaka kadhaa kwenye ndoa; na jamaa lililomzalisha lipo na wanawasiliana. Hapo tayari ushamzalisha watoto kadhaa. Utafanya nini? Jitahidi sana angalau ujue ABCs kuhusu past yake. Utakuja kunishukuru baadaye.
Achana na hiyo nadhani hajsikiliza vyema NO LOVE...lakini dakika za mwisho mke kuwa na mume halafu mume kuwa na mke ni sheria ya MUNGU.Sidhani kama umefikiria mbali lakini big up kwa uwezo wako.Dah uamuzi mgumu......ila nakuomba sikiliza kwanza wimbo unaoitwa 'bado nipo nipo kwanza' by Mwana FA.
All the bestKwa niaba ya wanaJF
Leo ni bora nitoe la moyoni,mdada mwenye usingle wa mwili na roho kama mkaka mimi sizani kama itakuwa mbaya tukiunda joint yetu na kuanza safari mpya as couple au hata kufunga pingu.
Umri ukiwa kwenye 25 below itakuwa kheri sana.kikubwa ni kujitambua lakini asiwe single mother tu.
Thank yuo.Mungu akupe hitaji la moyo wako
Mylavuwangu Wewe huhitaji kuongeza muke ??
Utakubali muwe wawili?Mylavuwangu Wewe huhitaji kuongeza muke ??
Wajua venye sina hiyana nawe kabisa lo alimradi aijue nafasi yangu na asijifanye mjuaji tu😁😁!Utakubali muwe wawili?
Wewe tayari mke mkubwa, utamkubali mke mdogo...Wajua venye sina hiyana nawe kabisa lo alimradi asijifanye mjuaji tu😁😁!
All the bests and enjoy love 😘 😁😁
Alimradi aijue nafasi yangu tu sio atake mashindano ya kunipiku 😁😁😁😁🤣🤭!Wewe tayari mke mkubwa, utamkubali mke mdogo...
Hapana huo mtego, utakua unamshushia nakos kila siku...Alimradi aijue nafasi yangu tu sio atake mashindano ya kunipiku 😁😁😁😁🤣🤭!
😁😁😁!Hapana huo mtego, utakua unamshushia nakos kila siku...
Nilikuwa sijaiona hii tag, nimekosa mume😂waifu material changamkia fursa😅😅 kwa afisa wa TISS
Pole sana 😅Nilikuwa sijaiona hii tag, nimekosa mume😂