Mke wangu hebu njoo sasa

Mke wangu hebu njoo sasa

MAFIA MGAX

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2023
Posts
430
Reaction score
552
Kwa niaba ya wanaJF

Leo ni bora nitoe la moyoni,mdada mwenye usingle wa mwili na roho kama mkaka mimi sizani kama itakuwa mbaya tukiunda joint yetu na kuanza safari mpya as couple au hata kufunga pingu.

Umri ukiwa kwenye 25 below itakuwa kheri sana.kikubwa ni kujitambua lakini asiwe single mother tu.
 
MUNGU AKUFANYIE wepesi ukikosa nistue mkuu nikupe chimbo hutojuta mkuu ila na posho uwepo kaka JAPO SI lazima. WAKUU nistueni KWENYE madili yenu WAKUU mtatisha San🙏🙏🙏🙏🙏🙏


Full stop ,kwishaaaaa
 
MUNGU AKUFANYIE wepesi ukikosa nistue mkuu nikupe chimbo hutojuta mkuu ila na posho uwepo kaka JAPO SI lazima. WAKUU nistueni KWENYE madili yenu WAKUU mtatisha San🙏🙏🙏🙏🙏🙏


Full stop ,kwishaaaaa
Kuna chimbo wa wanawake?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom