kyanaKyoMuhaya
JF-Expert Member
- Jul 8, 2012
- 1,952
- 939
chota tu tia kwenye ndoo unga na iliki atasimama kwenye hilo sink kuoga
Starehe gharama BADILI TABIA
Attachments
Last edited by a moderator:
chota tu tia kwenye ndoo unga na iliki atasimama kwenye hilo sink kuoga
Mimi nina mke na tuna mtoto mmoja. Lakini tangu nimemuoa huyu mwanamke maka mitatu iliyopita hajawahi hata siku moja kunikaribisha kwenda kuoga maji bafuni kwa adabu ambazo mimi nimekuwa nikiziona katika maeneo mengine. Kwa mfano anaweza kuandaa maji bafuni na kuniambia...nyanyuka ukaoge maji yako bafuni...hivi ina maana anshindwa kusema maneno kama karibu mme wangu ukaoge maji yako tayari bafuni? Hata kwa chakua hali ni hiyohiyo.
Kutokana na hili pamoja na mengine nimekuwa nikimchukulia kuwa hana adabu kwa mme wake au nakosea wadau?
Naombeni msaad wenu nifanye ninikumfanya anitendee ninavyopenda kutendewa maana nikimwambia kuwa sifurahii jinsi anavyonifanyia anaonekana kunishangaa tu na kuishia kunilaumu eti labda nina visa vingine tofauti na hilo!
ifanye nini ndugu zangu? naomba mnishauri tafadhali!
Tafuta nyumba ndogo chai utanywea bafuni utaogeshwa utasuguliwa utapakwa mafuta itachanwa nywele kila huduma unayokosa kwa mkeo hapo utaipata Mara Tatu yake
mimi nipo kwenye ndoa kwa zaidi ya miaka 10 na mpaka leo nikiweka chakula namkaribisha mume wangu "karibu mpenzi chakula" bafuni kwangu kuna maji siku zote tunaoga pamoja na several times ninamuogesha, namsugua miguu, namkata kucha, namchana nywele, nampasia nguo zake,,hata perfume ni mimi nampulizia...sio mara moja nampelekea chakula ofisini"lunch box" kwa surprise....naingia jikoni several times namuandalia vitu spesho hasa week ends ninapokuwa siendi ofisini... lkn bado alinicheat ...nyie wanaume bana hata mbebwe mgongoni na mbeleko hamriziki......
Tabia za watu wa Pwani, Lakini kutwa kucha Talaka, talaka , talaka. Sipotezi nguvu zangu, bila kuwekeza ndani ya nyumba, hakuna huduma, full stop.
Lakini bado uko naye? Ha ha ha ww ungenifaa sana
nadhani na wewe Snipper pia huna adabu
ulioa mke kumtumikisha au mlioana ili kujenga familia yenye upendo?
wanaume wa afrika acheni ujinga wa kuwaona wanawake ni watu wa kuwatumikia.
na nyie wanawake acheni kukubali kutumikishwa.
kila mtu ndani ya nyumba awajibike kama ni maji ajiwekee mwenyewe na hata kupika nae aingie jikoni
unakuta mkeo ana watoto anawahudumia wewe unatoka job
husaidii lolote kwa watoto unataka mkeo akuweke maji
hivi mkisoma hamwelimiki? tokeni kidogo muone kwa wengine wanafanyaje.
mwanaume mwenzangu umeniudhi sana na ulichopost.
kuanzia kesho jiwekee maji mwenyewe,nawe ingia jikoni msaidie mkeo kupika, ogesha watoto,asbh waandae pia kwenda shule,utaona upendo kwa nyumba yako unakuwa maradufu na utaishi maisha marefu,acha kule kitambi kwa uvivu hata wa kujiwekea maji.
Im married,hatuna housegirl, I used to do all domestic activities kw auwezo wangu, watoto wanaenda shule asbh wote na sisi mihangaiko yetu and we are happy for ever.
" ameomba sana msamaha nikamsamehe na tunaendelea kuishi vizuri japo nikikumbuka moyo unaniuma lkn ndo hivyo tena yeye ndio baba watoto wng.."
kuna watu wanasema mimi ni mtu wa pwani, wala mi si wa pwani na shule nimekata na kazi nzuri ninayo, basi ilimradi ktk maisha hakukosekani misukosuko
hapa tunapoishi tumepanga chumba na sebule na hakuna namna ya kuweka bomba bafuni...kuhusu kucheat..kwangu hilo ni kosa ambalo halisameheki maana hata mimi njitahidi kuliepuka!
ha ha ha ha, u are the snipper why dont u shoot her from a distance,,,,Mimi nina mke na tuna mtoto mmoja. Lakini tangu nimemuoa huyu mwanamke maka mitatu iliyopita hajawahi hata siku moja kunikaribisha kwenda kuoga maji bafuni kwa adabu ambazo mimi nimekuwa nikiziona katika maeneo mengine. Kwa mfano anaweza kuandaa maji bafuni na kuniambia...nyanyuka ukaoge maji yako bafuni...hivi ina maana anshindwa kusema maneno kama karibu mme wangu ukaoge maji yako tayari bafuni? Hata kwa chakua hali ni hiyohiyo.
Kutokana na hili pamoja na mengine nimekuwa nikimchukulia kuwa hana adabu kwa mme wake au nakosea wadau?
Naombeni msaad wenu nifanye ninikumfanya anitendee ninavyopenda kutendewa maana nikimwambia kuwa sifurahii jinsi anavyonifanyia anaonekana kunishangaa tu na kuishia kunilaumu eti labda nina visa vingine tofauti na hilo!
ifanye nini ndugu zangu? naomba mnishauri tafadhali!
Mimi nina mke na tuna mtoto mmoja. Lakini tangu nimemuoa huyu mwanamke maka mitatu iliyopita hajawahi hata siku moja kunikaribisha kwenda kuoga maji bafuni kwa adabu ambazo mimi nimekuwa nikiziona katika maeneo mengine. Kwa mfano anaweza kuandaa maji bafuni na kuniambia...nyanyuka ukaoge maji yako bafuni...hivi ina maana anshindwa kusema maneno kama karibu mme wangu ukaoge maji yako tayari bafuni? Hata kwa chakua hali ni hiyohiyo.
Kutokana na hili pamoja na mengine nimekuwa nikimchukulia kuwa hana adabu kwa mme wake au nakosea wadau?
Naombeni msaad wenu nifanye ninikumfanya anitendee ninavyopenda kutendewa maana nikimwambia kuwa sifurahii jinsi anavyonifanyia anaonekana kunishangaa tu na kuishia kunilaumu eti labda nina visa vingine tofauti na hilo!
ifanye nini ndugu zangu? naomba mnishauri tafadhali!
Unaishi kwa nadharia kuliko uhalisia unadhani kila nyumba unaweza kuweka hizo bafu za kisasa?Wanaume wetu bwana, bora atafute nyumba ndogo kuliko kutengeneza bafu zuri la kupunguza shughuli zisizo na tija asubuhi, khaaaah!!
asubuhi ndo kila kitu jamani, starehe hadi kieleweke.
ambebe mdada wa watu atoke chembe ya moyo????Kwani ukijiwekea maji mwenyewe hautakati mwili? au akukaribishe kwa kubembelezwa na kubebwa mpaka bafuni je ndo unatakata zaidi mwili?
Usitafute unyenyekevu wa kujionyesha, bali upendo na unyenyekevu wa moyoni. Unaweza kufanyiwa maigizo ya unyenyekevu kumbe unasanifiwa.