Kama ishu ni maji ya kuoga tu, si uweke mabomba bafuni?
Na akikucheat si utamla alive?
Culture, culture, culture!
Mimi nina mke na tuna mtoto mmoja. Lakini tangu nimemuoa huyu mwanamke maka mitatu iliyopita hajawahi hata siku moja kunikaribisha kwenda kuoga maji bafuni kwa adabu ambazo mimi nimekuwa nikiziona katika maeneo mengine. Kwa mfano anaweza kuandaa maji bafuni na kuniambia...nyanyuka ukaoge maji yako bafuni...hivi ina maana anshindwa kusema maneno kama karibu mme wangu ukaoge maji yako tayari bafuni? Hata kwa chakua hali ni hiyohiyo.
Kutokana na hili pamoja na mengine nimekuwa nikimchukulia kuwa hana adabu kwa mme wake au nakosea wadau?
Naombeni msaad wenu nifanye ninikumfanya anitendee ninavyopenda kutendewa maana nikimwambia kuwa sifurahii jinsi anavyonifanyia anaonekana kunishangaa tu na kuishia kunilaumu eti labda nina visa vingine tofauti na hilo!
ifanye nini ndugu zangu? naomba mnishauri tafadhali!
nyie ndo mkitafutiwa nyumba ndogo mnakimbilia kwa wagaga kienyeji kunusuru ndoa zenu wakati unaiua ndoa ni wewe mwenyewe kwa mikono yako na kukosa maarifa.MWANAUME KWANGU NI MTOTO WANGU MKUBWA!!!
point yA MSINGI HAPA NI KWAMBA KUMBUKA UMEMUOA HAJAKUOAwanawake wengi wanamatatizo, sisi wanaume tukiamua kusema kasoro za wake zetu, utakimbia, wengine ni ktk tendo, wengine jikoni, ona wako ni ukarimu, dawa kubwa ni kujiamini, tafuta siku moja mtoe outing, ukiwa umenote matatizo yake, amua ukamwambie au usubiri, mkirejea, kumtoa outing ni kumuandaa, usimwambie kitu, hadi siku nyingine, ila usikawie sana. wanafanya hivyo kwa sababb nyingi, mwingine anamfanyie mwanaume mwingine, wakati mwingine kaka ndoa umefoce, anakipenzi wa moyo wake, pengine amekujengea dharau, hatari sana hii, pengine hujiamini...wewe mwanamke hata kama ataongea pointi ya kumpeleka chuo kikuu cha harvald marekani mwambie katika siku ambazo umeongea upuuzi, ni leo, unammaliza makali yake, hii ni nzuri kwa madem wanaojifanya wajuaji
ndio mwanaume ni kama mtoto anatakiwa abembelezwe, lkn pia mwanamke ni kipofu usipomuonyesha njia anapotea
wanaume bwana mnaboajeeee
utajijuuuu and u wil keri uaself we huwezi kuweka??kama ameshindwa kukwambia jiambie mwenyewe kimoyomoyo
Mwanaume kuwa maskini inahusikaje na mapenzi? Matajari ndio wanajua kupendwa?
mbona nyote nyie mna bahati, mimi kila kitu najifanyia mwenyewe. Nikimuuliza ananijibu eti "kwani wewe huna mikono"?Kumbe mimi nina bahati sana, nakaribishwa mpaka raha.
nyie ndo mkitafutiwa nyumba ndogo mnakimbilia kwa wagaga kienyeji kunusuru ndoa zenu wakati unaiua ndoa ni wewe mwenyewe kwa mikono yako na kukosa maarifa.MWANAUME KWANGU NI MTOTO WANGU MKUBWA!!!
Mwanaume kuwa maskini inahusikaje na mapenzi? Matajari ndio wanajua kupendwa?
Tafuta nyumba ndogo chai utanywea bafuni utaogeshwa utasuguliwa utapakwa mafuta itachanwa nywele kila huduma unayokosa kwa mkeo hapo utaipata Mara Tatu yake
Nambembeleza darling, atengeneze bafu la kisasa, ili tufaidi wote.Kama ni wale watani wangu wa Tarime a.k.a kanda maalumu usishangae hawajui kubembeleza.