Mke wangu hana nidhamu?

Mke wangu hana nidhamu?

wanaume bwana mnaboajeeee
utajijuuuu and u wil keri uaself we huwezi kuweka??kama ameshindwa kukwambia jiambie mwenyewe kimoyomoyo
mh! haya ndio tunaita makavu live!
 
Kakimbia au hakwenda mkoleni huyu cha kufanya ni kumrudisha akafundwe upya kwaooooo,akirudi hadi kubebwa na kupelekwa kwa bafu inakuhusu wewe.
 
na yeye kesho aje alalamike humu "mume wangu mpaka saa 5 anachat mmu"
embu kamkumbatie mkeo acha kulalama
angekuwa amenifurahisha ningekuwa nina mood ya kwenda kumkumbatia kwa kweli lakini kwa jinsi alivonitifua hata sina hamu kabisa!
 
muwe mnawashauri wanawake wenzenu!
Kakimbia au hakwenda mkoleni huyu cha kufanya ni kumrudisha akafundwe upya kwaooooo,akirudi hadi kubebwa na kupelekwa kwa bafu inakuhusu wewe.
 
angekuwa amenifurahisha ningekuwa nina mood ya kwenda kumkumbatia kwa kweli lakini kwa jinsi alivonitifua hata sina hamu kabisa!

hao ndo wanaumeeee mweeee
ha maji tu kutokukaribishwa hivyooo wewe utakuwa una gubu sana
 
Kakimbia au hakwenda mkoleni huyu cha kufanya ni kumrudisha akafundwe upya kwaooooo,akirudi hadi kubebwa na kupelekwa kwa bafu inakuhusu wewe.

adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie hivi kweli unaconclude hayo kisa mume kawekewa maji ila kwa kupenda umwinyi anataka akaribishwe kama vile hajui anataka kuoga au hajaona kawekewa maji we mleta mada jirekebishe
 
wanaume bwana mnaboajeeee
utajijuuuu and u wil keri uaself we huwezi kuweka??kama ameshindwa kukwambia jiambie mwenyewe kimoyomoyo

Utandawazi unawasumbua sana
 
nimeoa mtu wa manyara....mbulu, mbona dada zake wanaonekana wana heshima? hata kama hayupo wao wakinitengea maji bafuni utasikia wanasema..''shem kaibu maji bafuni'' lakini yeye mwenye mali utasikia anafyatuka ''nyanyuka ukaoge wengine wanataka kuoga utawachelewesha'' basi mi namwangalia simumalizi!

huyu lazima ana kabuz mahal mchunguze kwa makin taratib si bure!
 
wanaume bwana mnaboajeeee
utajijuuuu and u wil keri uaself we huwezi kuweka??kama ameshindwa kukwambia jiambie mwenyewe kimoyomoyo

ha ha haaaaaaa, we dada Nakupenda sana.
 
adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie hivi kweli unaconclude hayo kisa mume kawekewa maji ila kwa kupenda umwinyi anataka akaribishwe kama vile hajui anataka kuoga au hajaona kawekewa maji we mleta mada jirekebishe

nyie ndo mkitafutiwa nyumba ndogo mnakimbilia kwa wagaga kienyeji kunusuru ndoa zenu wakati unaiua ndoa ni wewe mwenyewe kwa mikono yako na kukosa maarifa.MWANAUME KWANGU NI MTOTO WANGU MKUBWA!!!
 
nyie ndo mkitafutiwa nyumba ndogo mnakimbilia kwa wagaga kienyeji kunusuru ndoa zenu wakati unaiua ndoa ni wewe mwenyewe kwa mikono yako na kukosa maarifa.MWANAUME KWANGU NI MTOTO WANGU MKUBWA!!!

kumbe kinachokufanya ufanye yoote hayo ni kuogopa nyumba ndogo.
inferiority complex inakusumbua
jitu zima eti mke wangu jeuri kisa hajakaribishwa maji na aliona wakati yanawekwa
msonyooooo
 
kumbe kinachokufanya ufanye yoote hayo ni kuogopa nyumba ndogo.
inferiority complex inakusumbua
jitu zima eti mke wangu jeuri kisa hajakaribishwa maji na aliona wakati yanawekwa
msonyooooo

unaona sasa umeshaingiza uzungu........
hayo ni matokeo baada ya kukosa faraja anayoihitaji.ukikosa chai ya rangi utakuywa kahawa chungu japo si mywaji
sumu ya mapenzi ni maudhi kwa nini uruhusu maudhi wakati unajua yanasababishwa na nini?ulilazimishwa?
ukimwambia mume wangu karibu maji ya kuoga kuna tatizo gani? ikiwa maji tu unashidwa kumkaribisha hivyo vitu vingine unavifanye hadi anaridhika?namuhurumia mleta mada pole we!!
 
unaona sasa umeshaingiza uzungu........
hayo ni matokeo baada ya kukosa faraja anayoihitaji.ukikosa chai ya rangi utakuywa kahawa chungu japo si mywaji
sumu ya mapenzi ni maudhi kwa nini uruhusu maudhi wakati unajua solution?
ukimwambia mume wangu karibu maji ya kuoga kuna tatizo gani? ikiwa maji tu unashidwa kumkaribisha hivyo vitu vingine unavifanye hadi anaridhika?namuhurumia mleta mada pole we!!

Nimependa sana maneno yako, wengine wako humu kuharibu ndoa za watu.
 
km hakuheshimu mpe mimba tano mfululizo uone atakavyokuamkia kila akikuona.
 
nadhani na wewe Snipper pia huna adabu
ulioa mke kumtumikisha au mlioana ili kujenga familia yenye upendo?
wanaume wa afrika acheni ujinga wa kuwaona wanawake ni watu wa kuwatumikia.
na nyie wanawake acheni kukubali kutumikishwa.
kila mtu ndani ya nyumba awajibike kama ni maji ajiwekee mwenyewe na hata kupika nae aingie jikoni
unakuta mkeo ana watoto anawahudumia wewe unatoka job
husaidii lolote kwa watoto unataka mkeo akuweke maji
hivi mkisoma hamwelimiki? tokeni kidogo muone kwa wengine wanafanyaje.
mwanaume mwenzangu umeniudhi sana na ulichopost.
kuanzia kesho jiwekee maji mwenyewe,nawe ingia jikoni msaidie mkeo kupika, ogesha watoto,asbh waandae pia kwenda shule,utaona upendo kwa nyumba yako unakuwa maradufu na utaishi maisha marefu,acha kule kitambi kwa uvivu hata wa kujiwekea maji.
Im married,hatuna housegirl, I used to do all domestic activities kw auwezo wangu, watoto wanaenda shule asbh wote na sisi mihangaiko yetu and we are happy for ever.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom