kamanzi06
JF-Expert Member
- Jun 4, 2012
- 350
- 165
Kabla ya kuwa mke mlipitia urafiki, uchumba na hatimaye akawa mke...
Vipi huko kote hakuwa na 'obby'?
nimependa hapo kwenye 'obby'
Kabla ya kuwa mke mlipitia urafiki, uchumba na hatimaye akawa mke...
Vipi huko kote hakuwa na 'obby'?
nimependa hapo kwenye 'obby'
IF ITS NO BROKEN DON'T FIX IT..
bado sioni tatizo lake
sanasana wewe umeanza gubu
unataka awe na hobby ya kwenda taarabu na mashangingi ya mjini
wamtafutie vibuzi?
au awe na hobby ya kwenda bar na kunywa hadi anasinzia?
get over it....
Tulipitia huko na hizo hobby alikuwa nazo.
Kabla ya kuwa mke mlipitia urafiki, uchumba na hatimaye akawa mke...
Vipi huko kote hakuwa na 'obby'?
mkuuu umenichekesha sana kwa kuli-quote hilo neno 'obby' ! LOL !!! hivi kwanini wanaume wanaandika vibaya namna hii kama wanavyo andika wake zao !!!!Kabla ya kuwa mke mlipitia urafiki, uchumba na hatimaye akawa mke...
Vipi huko kote hakuwa na 'obby'?
watu8 we mchokozi lol
Shauri yako ukianza kumpushi atapushika hadi utakuja kuomba ushauri wa kuwa mkeo kacharuka.
Uwe unamwambia mapema, watu wengine shughuli za kazi zinachosha sana na wakipata dakika wanaona raha kupumzika nyumbani, ndio maana kuna take-away.
I hope wewe ni mtu unaepanga mapema labda hapo utamnyanyua kidogo, na kutembelea marafiki je nao wanawatembelea? Unajua mawasiliano ya simu siku hizi yamebadilisha maisha ya watu wengi sababu zamani ilikuwa mtu mkutane ndio muongee vizuri.
Pia ujiangalie usije ukaingia katika wimbi la kuwa na namba 2 huko nje eti ule starehe usizopata kwa mkeo.
Hobby zitajionyesha tu kama anazo, au muulize ana interest ya nini na nino katika maongezi yenu then shughulikia. Kumbuka nje kuna magonjwa.
Kwa kazi aliyonayo usishangae sana, na kama ni primary school basi hali inakua mbaya zaidi! unavyomuona ni mwanamke anaejiamini? na jee kiwango chake cha wivu unakionaje? hebu jibu hapa halafu tujaribu kuangalia mengine !!!!Mwalimu
Hadi sifa ananimwagia.