cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,325
Kubakwa huwa ni rare case pia kukimbiwa na mume sio excuse ya kutafta mserereko na kuacha watoto wateseke maisha huwa ni vita Kali sana, ka mtu ulizaa jiandae kwa lolote lazima tuwe na huruma na tufikirie vyema watoto na kuja na mbinu za kuwalea vizuri kuepusha abuse, na watoto kuharibikiwa kiakili, sikuhizi watu hawana ndoa wao ni kuzaa tu vile Wana mayai bila kufikiria ulezi.Kumbuka kuna waliobakwa na waliokimbiwa na waume au wake zao na kuachiwa watoto.
Siungi mkono kwa wanaozaa nje ya ndoa wakiwa ndani ya ndoa