cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,149
- 136,648
Kabisa yaan,Yani dear we acha
Kabisa yaan,Yani dear we acha
nimecheka sana lolCariha atangazwe kama adui wa taifa.
Inaonekana ana roho mbaya kama goti la nzi,
Ana mawazo machafu kama mavi ya mjusi na
Ana matendo yasiyofaa kawa nyongo ya mamba.
Huyu ni adui wa taifa.
Hawezi kuwa mama huyoMm nahic kulea watoto wawe wako au sio wako hususan wa mwenza wako inahitaj busara na kujitoa kama watoto wako sabb unapowaonyesha upendo nawenyew watakupenda na utawatengenezea hali ya kujiamn tofaut na kuwanyanyasa unawap hofu ndio wengin hukimbia makwao na kuanza kuwa ombaomba
Anaweza kuwa mama ila kwa watoto wake nasio kwa wengine mioyo tumetofautiana wengin wanahuruma na wengine huruma hawana hivyo tuvumiliane tu
Brother ili uwe mama,, huruma yko inatakiwa isiwe ya upande mmoja tu,Anaweza kuwa mama ila kwa watoto wake nasio kwa wengine mioyo tumetofautiana wengin wanahuruma na wengine huruma hawana hivyo tuvumiliane tu
Ma single father wataniua humu mwenzenu jamani Mimi nakuwa muwazi na mkweli sipendi watoto wasio na hatia wateseke pia na wanawake wasio wazaa hao watoto walaumiwe
Nyoko zenu nyie mnazaa huko mnashindwana zenu mtoto unampa lawama mtu mwingine ndio aliwatuma mpanue miguu kweli Yani nyie mzae huko kwa starehe zenu na ubinafsi mumeshindwa kuelewana huko then una force mama wengine wampemde nyie ka mnashindwa na ni damu yenu why blame other women's. Damu yenu nyie mumeshindwa ku raise mwanenu are you guy's mad?Huyu manzi ni mbinafsi , mchoyo anaroho mbaya usipime na anajiona yupo sawa tu
Shauri yako.Hivi mwanamke kumkataa/kumchukia mtoto wako uliyezaa kabla ya kumuoa. Kuna mapenzi hapo? Yaani hampendi Mwanao je wewe atakuwa anakupenda kweli?
Hadi unalala police ulikuwa una matatizo wewe na umeshindikana never blame anyone in this worldeand you will a free soul with happiness, don't expect other people to give you happinyif your own blood and flesh failed to give it to you,Duuuuh cariha u are something else,, some sort of a little monster
Mm na c* tumelelewa na our step father,, from the time she was 13 and i was 9,,,
i was a disgusting little creature,,, f*ckng crazy, a rebel, i was a pinch away to be neglected by the community,, remember i was fckn 9,,
but NEVER hajawah nichukia he did everything he could so niwe kwa mstari,,, kuna muda he sold his work PC just for hospital bills for my sister na hyo ni mwaka 2009 na hakuw biological daughter
Sikuwah kupendwa na yeyote kwa jamii
nimelala polisi mara ya kwanza akaja kunibail yeye mwenyew,, we are not his biological kids,, but you won't know that hata ukae na familia yetu for 1000 years,,maybe tukwambie sisi
Mm sio biological son wake but i walk, talk like him even a sarcastic smile yake,, hajwah nichukia, hawz kukubali ukimuuliza but everyone in the family knows kuwa i am his favorite son
Wewe na hata yako kwa mtoto asiye wako ni chuki na haiko verified with any reason utatoa,, hata kama unaweza kujifungua huwezi kuwa Mom,, wewe ni mother
Sent using Jamii Forums mobile app
wajinga ni wale wanaozaa mtoto then hawataki kumlea mikojo Yao ya starehe na ku Force mama wa wengine awasaidie kulea watoto, kwanini huyo mama aliwatuma mzae, hata huyo mtoto hakuomba mumazae mje kumtesa na kumyumbisha kilikuwa kiherehere chenu tu wawili then why ulaani wanawake wengine, nyie wenyewe mliokutanisha vikojoleo lawashinda kwanini mtu baki ambaye hajamubeba tumboni awe na uchungu naye.Cariha atangazwe kama adui wa taifa.
Inaonekana ana roho mbaya kama goti la nzi,
Ana mawazo machafu kama mavi ya mjusi na
Ana matendo yasiyofaa kawa nyongo ya mamba.
Huyu ni adui wa taifa.
Hata ma single Maza mbona tu mkali Mimi napinga hii tabia chafu iliyo zuka ya watu kuzaa hovyo na kutesa watoto wasio na hatia naonaga jinsi watoto wasio na furaha shuleni kuishi na wazazi wasio wao ina umiza sana, Nitapinga hii kitu kwa nguvu, tuache kutesa watoto kwA umalaya wetu.Na likija swala la kupenda watoto wa masingo maza ukomentigi hivi hivi.
That's why nmekwambia i was #disgusting# little creature,, AND ALINIPENDA NA SIO KUNICHUKIAHadi unalala police ulikuwa una matatizo wewe na umeshindikana never blame anyone in this worldeand you will a free soul with happiness, don't expect other people to give you happinyif your own blood and flesh failed to give it to you,
And if you didn't get anything accept it as a challenge and move we are born different and I hate laziness behavior and people failing to be responsible for their actions tena inapokuja swala la innocent and poor child involved I think government inahitaji kuja na sheria Kali kulinda Hawa poor and innocent kids sio kuzaa tu ukitegemea ulelewe mtoto.
N. B mtaniita majina yote mabaya na roho kutu msimamo wangu uko palepale kwanini starehe zenu zitese wengine Kwa lack of self control mnaleta kiumbe kwa tabia zenu mbovu then mna force mtu aingie gharama unnecessary za ulezi why?
Nmeeleza how a parent should be,,,Hadi unalala police ulikuwa una matatizo wewe na umeshindikana never blame anyone in this worldeand you will a free soul with happiness, don't expect other people to give you happinyif your own blood and flesh failed to give it to you,
And if you didn't get anything accept it as a challenge and move we are born different and I hate laziness behavior and people failing to be responsible for their actions tena inapokuja swala la innocent and poor child involved I think government inahitaji kuja na sheria Kali kulinda Hawa poor and innocent kids sio kuzaa tu ukitegemea ulelewe mtoto.
N. B mtaniita majina yote mabaya na roho kutu msimamo wangu uko palepale kwanini starehe zenu zitese wengine Kwa lack of self control mnaleta kiumbe kwa tabia zenu mbovu then mna force mtu aingie gharama unnecessary za ulezi why?
Wengine humu wanashauri eti kumpeleka mtoto akalelewe na bibi,huku ni sawa na kumtupa mtoto.Hana unafiki ni roho nyeusi imemjaa tu,sasa mtoto usiyemzaa wewe ukimlea ipasavyo unapungukiwa na nini?
Na nyumbani kwa mtoto ni kwa baba yakeKila mtoto akae kwao
Kama utashindwa kumpenda mtoto mdogo utawezaje kumpenda mtu mzima!?Mtoto mdogo unawezaje kusema hapendeki?
We una liroho chafu tu kama la jini subiani! Usisingizie eti mtoto hapendeki.
Katoto kadogo unawezaje kusema hakapendeki?
Are you chizi?
Mahakamani duniani kote ushahidi wa watoto ndio upewa kipaumbele,watoto kwa asilimia 90 wanayosema uwa ni kweli kwa sababu kisaikolojia mtoto hana uwezo wa kutunga kitu kipya kikaleta maana.Sikweli kaka kuna wapo wanawake wanaonyesha upendo mkubwa tu kwa watoto wa waume zao. Tatizo huwa lipo kwa watoto wenyew kuwa waongo kupindukia na kuleta uchonganishi sasa ukute mama yake karuhusiwa kuja kumuona bac akifika atamjaza maneno ya uongo huyo mama yake nakupelekea kuzuka ugomvi mkubwa kati ya wanandoa.
Unadhan kwa kitendo hicho huyo mama wakambo ataendlea kuonyesha upendo wwt zaid yakukuangalia
Kumpeleka wako mtt kwa bibi yake kwa sababu ya mpenzi wako mpya ni usaliti kwa mtoto na ni ushetani,ukatili na ushamba.Kama mama yake yupo mpeleke kwa mama yake
Au kwa bibi zake
Sio wote wanaweza kupenda watoto ambao hawajawazaa
Kumbe akili za kukataa watt wasio na hatia ni za kuku!Hiyo ni asili, hata kuku mwenye vifaranga hawezi kukaa na kifaranga wa kuku mwingine atamdonoa mpaka akome.
Sent using Jamii Forums mobile app