Toosie Slide
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 788
- 962
Mkuu piga kimya wala usimtafute mana ni mtu mzima mwenye akili timamu we mkaushie. Hata kama akirudi home usimulize kitu chochote, busara itunike
Roger thatDelta 2 you copy code red
We have been hit..... man down..... man down We need to evacuate
Hapana sio roho mbaya hiyo.Loh acha roho mbaya
Under 24Ana umri gani?
Huu niuzi wa ukweli.
Mkewangu Jana tulikwazana na msababishi ni yeye Tena alinikwaza kwelikweli.
Basi asbuhi kaamuka nakutokomea kusikojulikana , nimejaribu kumpigia simu bila mafanikio ,hakuweza kujibu Wala kupokea jumbe.
Hadi saivi hajaja nyumbani nimeambiwa tu yupo kwa Kaka yake nahuyo Kaka yake hatujawai kumuona asee naandika hapa Ila nashindwa ninahasira. Sijui nifanyeje je.
Na wewe uko na miaka ngapi?Under 24
Hata mm ningefanya hivyo na hayo ndio maamuzi sahihi unless nijiridhishe tofauti na uhalisiaFanya mambo haya Ngosha.
USIMPIGIE SIMU WALA USIMTUMIE MESEJI.
USIWAJULISHE NDUGU ZAKE, AU RAFIKI.
USIANGAIKE KUJUA YUKO WAPI KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE
PAKI VITU VYAKE .
SIKU AKIJA ,MWAMBIE VITU VYAKO HIVO HAPO, RUDI ULIPOKUA.
Mke wako ninae mkuu, tumepanga kuenjoy nae wiki hili lote la burudani[emoji16] ikiwezekana mpaka pasaka. Ila ulikuwa unafaidi mkuu.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Kumbe ni D number??Under 24
Wewe huna fisi kama wasukuma wenzio umtume aliko mkeo akalianzishe?Yaani
Akitoka kwako kwenye maombi apitie kwangu kuchukua MAFUTA na MAJI ya upako,itachukua Lisaa tu kumhudumia ili akifika amwage mlangoni ndio aingie.Usiogope, mke yuko mahala salama kwa kaka yake wa kiroho hapa 😸!!!
Tuko katika maombi maalum tumealika uwepo wa roho mtakatifu hapa "MTIRU LODGE" ili aweze kuiponya ndoa yenu. Usihofu ni maombi ya kitumishi ya muda tu. Baadae atarejea nyumbani ila usimpige tena mwenzio.
Shalom!
usisahau kuleta mrejeshoHuu niuzi wa ukweli.
Mkewangu Jana tulikwazana na msababishi ni yeye Tena alinikwaza kwelikweli.
Basi asbuhi kaamuka nakutokomea kusikojulikana , nimejaribu kumpigia simu bila mafanikio ,hakuweza kujibu Wala kupokea jumbe.
Hadi saivi hajaja nyumbani nimeambiwa tu yupo kwa Kaka yake nahuyo Kaka yake hatujawai kumuona asee naandika hapa Ila nashindwa ninahasira. Sijui nifanyeje je.
Delta 2 here, we read you loud and clear. ETA 15 minutes, proceed to extraction point D, point A, B and C have been compromised..!Delta 2 you copy code red
We have been hit..... man down..... man down We need to evacuate