Mke wangu hajarudi hadi sasa hivi

Mke wangu hajarudi hadi sasa hivi

Tuanzie nje ya mada kwanza, kwenye jina lako, Musu*****. Liandike vizuri.


Turudi kwenye mada yako. Wapigie simu wazazi wake uwataarifu kwa sababu za kiusalama. Halafu kausha endelea na mambo yako usimpigie simu wala kumtafuta. Kama yeye kakosea halafu ndiye anakuletea kiburi, maana yake anakuchukulia poa.
 
Hahaha we kiboko, eti kitakachofuata ITV, nimecheka hadi basi

Kama ulivyosema, kuna mahali mwamba aliteleza na ameshindwa kusimama kwenye nafasi yakee matokeo yake mke anajiamulia tu anavyotaka

Anatakiwa kunrudisha kwenye mstari kwa sheria ngumu, na kama hataki kutii basi arudi kwa kaka yake

Mimi nipo salama kabisa, i missed you dear habari za wewe
Cheka tu mama maisha yenyewe ndo haya haya😁😁

Inaonekana mwanamke ameshajua udhaifu wa jamaa wa kutokutumia uanaume wake kumnyoosha ndo mana ameamua kumchezea makida makida na mume kuja kuomba ushauri huku badala ya kunyoosha bibie.

Wanawake hatuhitaji mazoea ya kupitiliza.

🤣🤣🤣eti kama hataki arudi kwa kaka yake.😅😅kakamchepuko 🤔🤔🤔

Mimi niko mzima kabisa namshukuru Mungu kwa zawadi ya uzima na afya dear..
 
Cheka tu mama maisha yenyewe ndo haya haya😁😁

Inaonekana mwanamke ameshajua udhaifu wa jamaa wa kutokutumia uanaume wake kumnyoosha ndo mana ameamua kumchezea makida makida na mume kuja kuomba ushauri huku badala ya kunyoosha bibie.

Wanawake hatuhitaji mazoea ya kupitiliza.

🤣🤣🤣eti kama hataki arudi kwa kaka yake.😅😅kakamchepuko 🤔🤔🤔

Mimi niko mzima kabisa namshukuru Mungu kwa zawadi ya uzima na afya dear..
Yeah huyo kaka atakua mcheuko lazima

Nafurahi upo salama mamii, nikutakie weekend njema kabisa
 
Wewe jamaa inaonekana ndoa ishakushinda, peaneni space kila mtu aendelee na maisha yake.

Screenshot_20210313-155501.jpg


Unforgetable
 
Huu niuzi wa ukweli.

Mkewangu Jana tulikwazana na msababishi ni yeye Tena alinikwaza kwelikweli.

Basi asbuhi kaamuka nakutokomea kusikojulikana , nimejaribu kumpigia simu bila mafanikio ,hakuweza kujibu Wala kupokea jumbe.

Hadi saivi hajaja nyumbani nimeambiwa tu yupo kwa Kaka yake nahuyo Kaka yake hatujawai kumuona asee naandika hapa Ila nashindwa nina hasira.

Sijui nifanyeje
Mzee
Ndoa yenu ina muda gani?
 
Yeah huyo kaka atakua mcheuko lazima

Nafurahi upo salama mamii, nikutakie weekend njema kabisa
Lazimaaa...

Asante Mamii na kwako pia uendelee kuwa salama wewe na familia🥰🥰❣️❣️
 
Fanya mambo haya Ngosha.


USIMPIGIE SIMU WALA USIMTUMIE MESEJI.

USIWAJULISHE NDUGU ZAKE, AU RAFIKI.

USIANGAIKE KUJUA YUKO WAPI KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE



PAKI VITU VYAKE .


SIKU AKIJA ,MWAMBIE VITU VYAKO HIVO HAPO, RUDI ULIPOKUA.
Kula like mkuu enye ukomavu mkubwa
 
Fanya mambo haya Ngosha.


USIMPIGIE SIMU WALA USIMTUMIE MESEJI.

USIWAJULISHE NDUGU ZAKE, AU RAFIKI.

USIANGAIKE KUJUA YUKO WAPI KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE



PAKI VITU VYAKE .


SIKU AKIJA ,MWAMBIE VITU VYAKO HIVO HAPO, RUDI ULIPOKUA.
Hahaaah! Ukiwa na hii mindset hakuna boya atakuzingua
 
Kama alifanya kosa ukamsema yeye akaamua kuondoka mpigie simu alikwambia yupo kwa kaka yake kwamba asirudi akae huko huko
 
Huu niuzi wa ukweli.

Mkewangu Jana tulikwazana na msababishi ni yeye Tena alinikwaza kwelikweli.

Basi asbuhi kaamuka nakutokomea kusikojulikana , nimejaribu kumpigia simu bila mafanikio ,hakuweza kujibu Wala kupokea jumbe.

Hadi saivi hajaja nyumbani nimeambiwa tu yupo kwa Kaka yake nahuyo Kaka yake hatujawai kumuona asee naandika hapa Ila nashindwa nina hasira.

Sijui nifanyeje
Huwezi kufanya lolote kwa kuwa bado una hasira, zitulize kwanza hasira ndiyo utapata majibu
 
Pole mkuu kaza moyo relax atarudi tu...muyajenge kwa upendo...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom