Mke wangu hajarudi hadi sasa hivi

Mke wangu hajarudi hadi sasa hivi

Si yuko kwa kaka yake..!!na hajakwambia??!na yeye ndo mwenye makosa!piga kimya.

Ingia bafuni,ofa,vaa vizuri nukia nenda karuke kwanja huko rudi zako nyumbani mida ya wanga au au asubuhi kabisa .usimtafute .wakati mwingine sisi huwa tunatingisha kibiriti.ishini nasi kwa akili
Ila huyo kiboko, hata kama kutingisha kiberiti ndo kaamua kulala hukohuko kabisaaa, sijui anajiamini nini

Cha msingi ajaribu kumpotezea, akimpa attention sana atapata kichwa huko alipo
 
Huu niuzi wa ukweli.

Mkewangu Jana tulikwazana na msababishi ni yeye Tena alinikwaza kwelikweli.

Basi asbuhi kaamuka nakutokomea kusikojulikana , nimejaribu kumpigia simu bila mafanikio ,hakuweza kujibu Wala kupokea jumbe.

Hadi saivi hajaja nyumbani nimeambiwa tu yupo kwa Kaka yake nahuyo Kaka yake hatujawai kumuona asee naandika hapa Ila nashindwa nina hasira.

Sijui nifanyeje
Ni heri asirudi tu ..hata ungekuwa ni wewe ungewezaje kukaa na mtu anaandika "kaamuka"?
 
Kwa threads hizi tatu, inaonesha una uvumilivu sana. Maana kukimbiwa ilikuwa ni swala la muda tu.



 
Ila huyo kiboko, hata kama kutingisha kiberiti ndo kaamua kulala hukohuko kabisaaa, sijui anajiamini nini

Cha msingi ajaribu kumpotezea, akimpa attention sana atapata kichwa huko alipo
Huyo mwanamke atakuwa anaakili kama za kondoo au bata.lakini pia mwanaume hajasimama vizuri kama kichwa cha familia.
Kwa hicho kitendo cha kwenda kulala kwa kaka yake itakuwa ni aina nyingine ya kibiriti ambacho alishazoea kukitingisha kwa hiyo kuona ni mazoea.

Kuna upumbavu sehemu mwanaume aliuletea mlegezo 😌😌😌

Ningekuwa ni huyo mwanaume napiga kimya namsubiri arudi na mimi niende kwa dada nikakae siku kama alizokaa yeye then narudi nyumbani..kitakachofuata ITV ni mwendo wa kumuumiza kihisia tu.chakula chake sili,game sipigi,nguo napiga pasi mwenyewe atakazozipiga pasi yeye sivai,akikaa chumbani nahamia sebuleni,akikaa sebuleni nahamia chumbani(namkwepa),pesa ya matumizi namwachia.😅😅akili lazima imkae sawa.asipopata stress basi moyo wake ni jabali.
**************************************

Habari za siku sisy..unaendeleaje ?nimekuhamu.
 
Tatizo ulimchumbia harakaharaka na kumuoa! Ungechukua mda wa kutosha katika uchumba ungemjua zaidi! Sasa kula kobisi mpaka ajilete akiwa na sababu za kutosha.

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
Huu niuzi wa ukweli.

Mkewangu Jana tulikwazana na msababishi ni yeye Tena alinikwaza kwelikweli.

Basi asbuhi kaamuka nakutokomea kusikojulikana , nimejaribu kumpigia simu bila mafanikio ,hakuweza kujibu Wala kupokea jumbe.

Hadi saivi hajaja nyumbani nimeambiwa tu yupo kwa Kaka yake nahuyo Kaka yake hatujawai kumuona asee naandika hapa Ila nashindwa nina hasira.

Sijui nifanyeje
Mimi nina ndugu yangu yeye anaitwa NusuKuma!!!
 
Kama umekolea haswa maushauri ya wadau yahitaji uwe na spare ya moyo mwingine,ndio utaweza yatimiza kwa vitendo,ila kama kweli una hasira na kakukera kosa linalohusiana

au linaloendana endana na "usaliti" braza njoo nkuazime huu moyo wangu,Achana na hiyo kiumbe,ila kama ni kosa lingine halina uhusiano wala kuendana na mambo ya "usaliti" ninachokushauri ni "kausha"

punguza jazba (japo sjui hata mimi kama ningeweza),nawewe tia nyumba Kufuli kakae hata wiki 1 hotel toka home,nenda kazini ukirudi unarud hotel utakuta umeandaliwa msosi asubuhi/mchana/jioni (just a week) kaa huko huko.

Nyumbani ukiondoka badilisha kitasa,badlisha kufuli la gril (kama lipo) weka heavy duty padlock,kisha sepa hapo home nawewe si lazima uende hotel kama huna hela,nenda tafuta hata cheap lodge au close friend kakae kwake (in just a week) hii wiki 1

nakushauri uondoke mazingira ya home kwako ili akili imsahau,usione chochote kinacho ku connect na yeye,huku pia ukiendelea na mishe zako za kila siku,kuzidi kukaa hapo nyumbani huku unaona vichupi vyake/nguo zake/sahani yake anayoliaga chakula sana

dressing table ina makorokoro yake aseee unaweza jikuta unaongea na zile nguo zake ukihisi ni yeye,so Kwasasa Clean up your mind ondoka hapo home kwa muda,na yeye akirudi kutoka alipokua atakutana na mkufuli mmoja matata sana mlangoni Akili itamkaa sawa

atawaza mambo mengi sana labda umeenda jiua,yani atawaza kila anachojua,atakupgia simu "usipokee" na wewe usirudi home mpk wiki ikate ili nayeye huku nyuma akirudi akukose atie adabu.

ila Kama ugomvi wenu una connect dot's na ishu za usaliti usaliti,wewe Jiweke pembeni tu mapema kausha MPOTEZEE IN CAPITAL LETTERS...sema kuachana na mpenzi uliempenda sazngine hta ukijua sio mwamnifu yahtaji moyo sheheeeee..

Kosa linaloendana na usaliti kusamehe yahtaji uwe umekwiva kiroho na sio kimwili.
 
Huyo mwanamke atakuwa anaakili kama za kondoo au bata.lakini pia mwanaume hajasimama vizuri kama kichwa cha familia.
Kwa hicho kitendo cha kwenda kulala kwa kaka yake itakuwa ni aina nyingine ya kibiriti ambacho alishazoea kukitingisha kwa hiyo kuona ni mazoea.

Kuna upumbavu sehemu mwanaume aliuletea mlegezo 😌😌😌

Ningekuwa ni huyo mwanaume napiga kimya namsubiri arudi na mimi niende kwa dada nikakae siku kama alizokaa yeye then narudi nyumbani..kitakachofuata ITV ni mwendo wa kumuumiza kihisia tu.chakula chake sili,game sipigi,nguo napiga pasi mwenyewe atakazozipiga pasi yeye sivai,akikaa chumbani nahamia sebuleni,akikaa sebuleni nahamia chumbani(namkwepa),pesa ya matumizi namwachia.😅😅akili lazima imkae sawa.asipopata stress basi moyo wake ni jabali.
**************************************

Habari za siku sisy..unaendeleaje ?nimekuhamu.
Hahaha we kiboko, eti kitakachofuata ITV, nimecheka hadi basi

Kama ulivyosema, kuna mahali mwamba aliteleza na ameshindwa kusimama kwenye nafasi yakee matokeo yake mke anajiamulia tu anavyotaka

Anatakiwa kunrudisha kwenye mstari kwa sheria ngumu, na kama hataki kutii basi arudi kwa kaka yake

Mimi nipo salama kabisa, i missed you dear habari za wewe
 
JF imeharibiwa sana na watu wa Facebook.
Naona wanajiunga kwa kasi sana
 
Usiogope yupo mikono salama, akirudi nistue kabla hujafanya lolote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom