Mke wangu hajarudi hadi sasa hivi

Mke wangu hajarudi hadi sasa hivi

Hii Banghosha, huyo kaka atakua anampiga mkeo mbololo. Kaza moyo.
 
Fanya mambo haya Ngosha.


USIMPIGIE SIMU WALA USIMTUMIE MESEJI.

USIWAJULISHE NDUGU ZAKE, AU RAFIKI.

USIANGAIKE KUJUA YUKO WAPI KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE



PAKI VITU VYAKE .


SIKU AKIJA ,MWAMBIE VITU VYAKO HIVO HAPO, RUDI ULIPOKUA.
Hata miki hii naikubali.
 
Usiogope, mke yuko mahala salama kwa kaka yake wa kiroho hapa [emoji75]!!!

Tuko katika maombi maalum tumealika uwepo wa roho mtakatifu hapa "MTIRU LODGE" ili aweze kuiponya ndoa yenu. Usihofu ni maombi ya kitumishi ya muda tu. Baadae atarejea nyumbani ila usimpige tena mwenzio.

Shalom!
Hahahaaa. Watu wengine duu.
 
Huu niuzi wa ukweli.

Mkewangu Jana tulikwazana na msababishi ni yeye Tena alinikwaza kwelikweli.

Basi asbuhi kaamuka nakutokomea kusikojulikana , nimejaribu kumpigia simu bila mafanikio ,hakuweza kujibu Wala kupokea jumbe.

Hadi saivi hajaja nyumbani nimeambiwa tu yupo kwa Kaka yake nahuyo Kaka yake hatujawai kumuona asee naandika hapa Ila nashindwa ninahasira. Sijui nifanyeje je.
Screenshot_20210218-235541~2.png
 
Ila hawa watu wanaoanzishaga nyuzi humu halafu wanatuacha hewani hawaleti mrejesho mi wananiudhi sana. Watu hatuwezi kufanya shughuli zetu tumekaa tu tunasubiria.....!🙄
usikute tunampa ushauri hapa alafu ni stori ya kutunga
 
Pole sana musukuma kama ni mkeo wa ndoa basi unajua chakufanya wewe mripoti kwao!'' kwamba kaondoka mlipishana kauli asije uko alikoenda akakutana na magunia ya mkaa akakuponza mzee baba...!! Report kwao na kwenu pia then tulia usimtafute kabisa chapa kazi ipo saa na siku atarudi mwenyewe
 
Mkuu,
Akirudi kagua matundu yote, uhakikishe "radius na diameter" ziko vile vile kama zilivyokua kabla hajaondoka.
 
Huu niuzi wa ukweli.

Mkewangu Jana tulikwazana na msababishi ni yeye Tena alinikwaza kwelikweli.

Basi asbuhi kaamuka nakutokomea kusikojulikana , nimejaribu kumpigia simu bila mafanikio ,hakuweza kujibu Wala kupokea jumbe.

Hadi saivi hajaja nyumbani nimeambiwa tu yupo kwa Kaka yake nahuyo Kaka yake hatujawai kumuona asee naandika hapa Ila nashindwa ninahasira. Sijui nifanyeje je.
Yaani kakukwaza alafu kaondoka yeye? Huyo ana eneo lingine.
 
Na akirudi tu om na wewe ondoka kusiko julikana kaa ata week bila wasiliano then rudi afu kaa kimya maisha yaendelee
 
Huu niuzi wa ukweli.

Mkewangu Jana tulikwazana na msababishi ni yeye Tena alinikwaza kwelikweli.

Basi asbuhi kaamuka nakutokomea kusikojulikana , nimejaribu kumpigia simu bila mafanikio ,hakuweza kujibu Wala kupokea jumbe.

Hadi saivi hajaja nyumbani nimeambiwa tu yupo kwa Kaka yake nahuyo Kaka yake hatujawai kumuona asee naandika hapa Ila nashindwa nina hasira.

Sijui nifanyeje
Chapa kazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom