Mke wangu hajarudi hadi sasa hivi

Mke wangu hajarudi hadi sasa hivi

Huu niuzi wa ukweli.

Mkewangu Jana tulikwazana na msababishi ni yeye Tena alinikwaza kwelikweli.

Basi asbuhi kaamuka nakutokomea kusikojulikana , nimejaribu kumpigia simu bila mafanikio ,hakuweza kujibu Wala kupokea jumbe.

Hadi saivi hajaja nyumbani nimeambiwa tu yupo kwa Kaka yake nahuyo Kaka yake hatujawai kumuona asee naandika hapa Ila nashindwa ninahasira. Sijui nifanyeje je.

Ni kawaida hiyo , ndio maana wazee wetu walikuwa na miji mingi ,lengo ni kujipa likizo.
 
Huu niuzi wa ukweli.

Mkewangu Jana tulikwazana na msababishi ni yeye Tena alinikwaza kwelikweli.

Basi asbuhi kaamuka nakutokomea kusikojulikana , nimejaribu kumpigia simu bila mafanikio ,hakuweza kujibu Wala kupokea jumbe.

Hadi saivi hajaja nyumbani nimeambiwa tu yupo kwa Kaka yake nahuyo Kaka yake hatujawai kumuona asee naandika hapa Ila nashindwa ninahasira. Sijui nifanyeje je.
Bado kaamukaaa
 
Pole musukuma
Hakuna mwanaume wa Kisukuma wa hivi. Huyu likely ni wa huko Dar au pwani [emoji2099][emoji2099][emoji2099]
JamiiForums641113342.jpg
 
Huu niuzi wa ukweli.

Mkewangu Jana tulikwazana na msababishi ni yeye Tena alinikwaza kwelikweli.

Basi asbuhi kaamuka nakutokomea kusikojulikana , nimejaribu kumpigia simu bila mafanikio ,hakuweza kujibu Wala kupokea jumbe.

Hadi saivi hajaja nyumbani nimeambiwa tu yupo kwa Kaka yake nahuyo Kaka yake hatujawai kumuona asee naandika hapa Ila nashindwa ninahasira. Sijui nifanyeje je.

Vipi mkuu, mke alirudi? Kama vipi na wewe nenda kwa dada yako
 
Huu niuzi wa ukweli.

Mkewangu Jana tulikwazana na msababishi ni yeye Tena alinikwaza kwelikweli.

Basi asbuhi kaamuka nakutokomea kusikojulikana , nimejaribu kumpigia simu bila mafanikio ,hakuweza kujibu Wala kupokea jumbe.

Hadi saivi hajaja nyumbani nimeambiwa tu yupo kwa Kaka yake nahuyo Kaka yake hatujawai kumuona asee naandika hapa Ila nashindwa ninahasira. Sijui nifanyeje je.
Usiogope, mke yuko mahala salama kwa kaka yake wa kiroho hapa 😸!!!

Tuko katika maombi maalum tumealika uwepo wa roho mtakatifu hapa "MTIRU LODGE" ili aweze kuiponya ndoa yenu. Usihofu ni maombi ya kitumishi ya muda tu. Baadae atarejea nyumbani ila usimpige tena mwenzio.

Shalom!
 
Huu niuzi wa ukweli.

Mkewangu Jana tulikwazana na msababishi ni yeye Tena alinikwaza kwelikweli.

Basi asbuhi kaamuka nakutokomea kusikojulikana , nimejaribu kumpigia simu bila mafanikio ,hakuweza kujibu Wala kupokea jumbe.

Hadi saivi hajaja nyumbani nimeambiwa tu yupo kwa Kaka yake nahuyo Kaka yake hatujawai kumuona asee naandika hapa Ila nashindwa ninahasira. Sijui nifanyeje je.
Kaka kaka kwel
 
Huu niuzi wa ukweli.

Mkewangu Jana tulikwazana na msababishi ni yeye Tena alinikwaza kwelikweli.

Basi asbuhi kaamuka nakutokomea kusikojulikana , nimejaribu kumpigia simu bila mafanikio ,hakuweza kujibu Wala kupokea jumbe.

Hadi saivi hajaja nyumbani nimeambiwa tu yupo kwa Kaka yake nahuyo Kaka yake hatujawai kumuona asee naandika hapa Ila nashindwa ninahasira. Sijui nifanyeje je.
Mtafute bwana shemeji
Kama anakaa chumba kimoja na yuko single ama anakaa nyumba nzima na hana mke... Mtafute
 
Pole sana, atarudi ila ndo hivyo tena atakuwa anarudi kutoka kwa kaka.
Wanawake wenye akili na wanaowajali waume zao na wasiotaka ndoa ivunjike huwa wanakimbilia kwa wakwe sio kwa kaka. Ss huyu wako itakuwa kaamua kufanya anayofanya.
Kama mkwe yuko kilomita 1000 toka alipo bado ende huko?,
Zama zimebadilika sio ndo zote zipo maeneo walikozaliwa wanandoa
 
Umeambiwa na nani kwamba yupo kwa kaka yake?

Chunguza vizuri na hata akirudi muulize akuambie wapi alipokuwa, akijidai anakupanda kichwani mkate viganja kadhaa
Hivyo viganja havitakuwa na maslahi ni TLK tu, kwanza mimi hiyo ingekuwa teket yake,hakukuwa na sababu ya kuondoka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom