Andie
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 712
- 1,643
KANYEGELO,
Pole sana mkuu, najaribu kuvaa viatu vyako na ninaona wakati mgumu ulionao nakusihi kua mvumilivu wa wasira. Nina mambo mawili nayotaka kunwambia.
1. Hebu fuata ushauri wa watu hasa watu wazima mfn wazazi na viongozi wa imani yako kwani naamini wameshakutana na case kama hzo na pasina shaka watakua na ushaur unaofaa.
2. Naomba uniruhusu kukulaumu mkuu, yani pamoja na thread zote hapa kutuadharisha kuoa SINGLE MOTHERS wewe hukusikia, huko mtaani kwenu najua ushahusiwa kua usioe mwanamke aliezalishwa labda kama aliezaa nae amekufa wewe hukusikia. Pole ila kujifanya unajua sana kupenda leo unakula jeuri yako.
Muwe mnaelewa mnapoambiwa single mother hafai kuolewa haya yako wapi ?! Kujifanya una phd ya kupenda na diploma ya ubishi yako wapi mkuu ?! All in all pole ila ndo ukome kujifanya mbishi
Pole sana mkuu, najaribu kuvaa viatu vyako na ninaona wakati mgumu ulionao nakusihi kua mvumilivu wa wasira. Nina mambo mawili nayotaka kunwambia.
1. Hebu fuata ushauri wa watu hasa watu wazima mfn wazazi na viongozi wa imani yako kwani naamini wameshakutana na case kama hzo na pasina shaka watakua na ushaur unaofaa.
2. Naomba uniruhusu kukulaumu mkuu, yani pamoja na thread zote hapa kutuadharisha kuoa SINGLE MOTHERS wewe hukusikia, huko mtaani kwenu najua ushahusiwa kua usioe mwanamke aliezalishwa labda kama aliezaa nae amekufa wewe hukusikia. Pole ila kujifanya unajua sana kupenda leo unakula jeuri yako.
Muwe mnaelewa mnapoambiwa single mother hafai kuolewa haya yako wapi ?! Kujifanya una phd ya kupenda na diploma ya ubishi yako wapi mkuu ?! All in all pole ila ndo ukome kujifanya mbishi