Mke wangu bado anawasiliana na Ex wake

Mke wangu bado anawasiliana na Ex wake

Samahani mkuu nimejikuta nashindwa kuvumilia.
Yaani mke wako anawasiliana na X wake. Na umepata ushahidi kwamba ananyanduliwa. Kisha ukamuuliza na akakiri. Na bado unaona wakiendelea kuwasiliana.
Na baada ya hayo yote, umekuja kutuomba ushauri...!!
Sasa mkuu.....
Weunadhani sisi tutakushauri nini..??
Zaidi ya kukwambia tu vumilia, na hata pengine mshauri mke wako akukutanishe na huyo X wake ili mfahamiane tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hujielewi ww mke kakiri kapigwa mti na ex wake na ww bado upo nae tu taraka iliwekwa ya nn au umepikiwa na chakula cha maji ya ukeni hujielewi

Sent using Jamii Forums mobile app
Alafu anakuja kutusumbua sisi huku JF bila aibu, mpaka amegundua wamepasha kiporo jua kuwa walishapasha vyakutosha kabla ya kuja kujua. Wanaume wengine wanaudhi kweli kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kuwa serious kidogo basi. Inamaana hapo ww umeshindwa kabisa cha kufanya? Mkeo anabanduliwa na ex wake nayeye kakiri mbele yako na bado wanawasiliana lakn bado unamganda?!!

Mm nakushauri mwite mwambie aende zake kiroho safi tu ili wakabanjuke vzr na huyo ex wake.

Usikumbatie matatzo atakuja kukuletea shida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom