malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,791
- 4,485
Balaa
Anaweza msamehe...Mwache huyo mwanamke. Mwanamke akizini, akakiri jawabu ni kuachwa mara moja.
Kaka Kama utaendelea kung'ang'ania kitakachokukuta ni kifo au ulemavu mbaya sana
[emoji23][emoji23][emoji23]Samahani mkuu nimejikuta nashindwa kuvumilia.
Yaani mke wako anawasiliana na X wake. Na umepata ushahidi kwamba ananyanduliwa. Kisha ukamuuliza na akakiri. Na bado unaona wakiendelea kuwasiliana.
Na baada ya hayo yote, umekuja kutuomba ushauri...!!
Sasa mkuu.....
Weunadhani sisi tutakushauri nini..??
Zaidi ya kukwambia tu vumilia, na hata pengine mshauri mke wako akukutanishe na huyo X wake ili mfahamiane tu
Sent using Jamii Forums mobile app