Mke wangu bado anawasiliana na Ex wake

Mke wangu bado anawasiliana na Ex wake

Wewe sio wale wanaoinspire watu wasioe single mother Umekuja na style mpya?
 
Kaka nakushauri. Mpaka hapa invyonekana wewe unampenda Sana huyo mwanamke, Ila usiangalie umetoka naye wapi chakufanya mpe muda aendelee kuwa nahuyo jamaa yake. We ikiwezekana Anza upya unawezapata tulizo la moyo wako. Ila ukiendelea atakuua huyo..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Women can tell a man's self worth by how much shit he can put up with. If you can only see yourself worth a cheating single-mother, even the single-mother you are taking care of knows you are a piece of shit. she only tolerates you out of necessity, The best she can do is only pretend to respect you but deep inside anajua wewe ni bozo.
 
Ni tatizo kubwa linawatokea wengi wanaooa single mather haiepukiki mkuu ataendelea kuchat nae hadi mwsho wa maisha asikudanganye MTU wazazi hawaachani na ni mtoto huwaunganisha na huwezi zuia wasichat labla ufanye jambo moja nalo ni kumuua huyo jamaa kitu ambacho ni kibaya
Ushauri Wangu usishike simu yake ishi kibingwa kama usiejua lolote au pili utafute mpenzi mpya pia cikiliza moyo wako
 
Back
Top Bottom