nosspass
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 5,819
- 4,796
Ushauri muruamkuu hujui ufanyeje, wanaume tunapungua sana aiseee.....
Sasa nakupa ushauri huu.
Muite huyo EX wake muishi nae kwako muwe mnapokezana kulala na huyo mke wenu
Bwege wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu hujui ufanyeje, wanaume tunapungua sana aiseee.....
Sasa nakupa ushauri huu.
Muite huyo EX wake muishi nae kwako muwe mnapokezana kulala na huyo mke wenu
Akikujibu narudi.Nikuulize swali moja tuu....Hivi wewe kweli ni mwanaume uliyekamilika?
Na wewe wasiliana na Ma X girlfriends. wako kama unadhani itakupa amani.
Lakini pia, amua kupuuza upumbavu wake, usiuweke akilini, jiepushe kushishika simu ya mkeo, utagundua Kuna Bodaboda anamfumua Malinda.
Simu ya mke ni kifo iepuke na kuigopa kama ukoma, as long as hafanyi mbele yako, anakuhishimu, anakutunza na kukutumikia.
Ni mwanaume wa DarNikuulize swali moja tuu....Hivi wewe kweli ni mwanaume uliyekamilika?
Piga moyo konde maisha yaendee achana na simu yake akileta mtoto mzungu Sawa .Amani gharama