Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,010
- 23,653
WTF...!
Texting/sexting could be justified, man.
WTF...!
Ile habari ya tuoe makabila gani inaendelea.Pole ya kawaida hayo, ongea nae delete hiyo account Facebook, jipe muda maumivu yapungue msamehe maisha yaendelee.....
Habari za jumatano wanajamvi, bila shaka mmeamka salama kabisa.
Leo nimekuja huku kuomba ushauri maana tangu usiku sijalala kichwa kinawaka moto.Nimeoa miaka minne ilitopita, kabla ya hapo niliambiwa kabila la Mbulu sio la kuoa mie moyo ukawa umenasa hivyo na pete kanisani ikavaliwa. Nimebarikiwa mtoto mmoja wa kike.
Mwaka 2011 nilimfungulia account facebook mchumba kabla sijamuoa na nilikuwa namuamini sana.Tatizo Jana (Jumanne nikiwa kazini akaniambia account yake imesumbua halafu njia ndio mie hivyo nikiwa kazini nikalog in kwenye account yake (ikumbukwe tangu nimuunge sijawahi ingia kwenye inbox wala kugusa simu yake) baada ya kumrekebishia tatizo lake nikaona niingie inbox kwa mara ya kwanza.
Ukweli mie sinywi pombe lakini Jana nilijikuta naondoka kazini mapema na kwenda kuzimua kichwa. Nimekuta message nyingi anachat na vijana za ajabu ajabu mara mume wangu nitamuaga naenda kwa ndugu nitakuja kwako, mara mume wangu hayupo halafu nipo kitandani peke yangu baridi kali, Mara nimetoka kuoga ndio najifuta now, halafu anagawa namba yake ya simu kirahisi kwa kila anayemuomba namba. Yaani nusura nianguke ofisini maana mpaka wenzangu wamejua kuna tatizo ila sijafungua mdomo wangu.
Nimerudi nimemkuta ananichekea yani sijaongea kitu roho inaniuma vibaya, nahangaika kutoa jasho kwaajili ya kumpendezesha na mtoto wetu ila kaniona boya. Wakati naanza uhusiano nae nilikuta akiwa na elimu ya darasa la saba tu, nikamuendeleza QT na kumfundisha mpaka now ana diploma na October anaingia degree, sijui hata nifanye nini haki ya Mungu inanitesa sana.
Ilo ni sawa mkuu,ila pia kamcheki yeye mwenyewe afya yake ni salama namaanisha HIV ndo maamuzi mengine,nakushauri kwa hilo maana yalishanikuta ya namna hiyoMkuu kwenye mtoto sina Shaka mtoto kafanana na mama yangu kila kitu mpaka bimkubwa akamkabidhi jina lake, maana wakubwa zangu walitangulia kuzaa hakuna aliyekabidhi mwanae jina la mama ila alipozaliwa wangu mama akamtazama Akasema iwe isiwe lazima aitwe jina lake na wamefanana kweli...hapo sina Shaka ila kwenye kukung'utwa na watu wengine hapo ndio roho inaniuma maana sina ushahidi wa moja kwa moja ila message zimeniumiza vibaya
unasema ulikua malaya mbwa hujui kua ndege wafananao huruka pamojaa
Mkuu kudelete account sio solution, nakumbuka 2006 niliwahi kuwa na mwanamke mmoja alikuwa akisoma Uganda, Akasema anaboreka Facebook hivyo akadelete account yake nikajua hayumo...baadae nikaja jua anatumia account nyingine tena miongoni mwa list ya friends zangu, nilitambua kwakua nilikuwa najua namna anavyochat, swaga zake na connection ya vitu alivyokuwa anapost...ulimwengu wa Sasa hata nikidelete account anaweza fungua nyingine au pia kumbuka anagawa namba hovyo maana yake hata nikidelete account ni kazi bure, kuna whatsapp, telegram, viber n.k mambo yatakuwa yale yale tu...hapo sijui whatsapp na kwingineko anachat nini huko na kina nani mpaka leotabia za wanawake wengi sana hasa wa facebook,hata mm nachat nao sana unaweza hata kumtongoza mwanamke facebook na asikwambie ukweli wowote kuwa ana mwanaume au lah! na hata ukisema uangalie inform zao unakuta wengi wao wameandika #SINGLE wakati mtu yupo #INLOVE......facebook ni shida sana, fanya tu kudelete hiyo account
duuuh!Mkuu kudelete account sio solution, nakumbuka 2006 niliwahi kuwa na mwanamke mmoja alikuwa akisoma Uganda, Akasema anaboreka Facebook hivyo akadelete account yake nikajua hayumo...baadae nikaja jua anatumia account nyingine tena miongoni mwa list ya friends zangu, nilitambua kwakua nilikuwa najua namna anavyochat, swaga zake na connection ya vitu alivyokuwa anapost...ulimwengu wa Sasa hata nikidelete account anaweza fungua nyingine au pia kumbuka anagawa namba hovyo maana yake hata nikidelete account ni kazi bure, kuna whatsapp, telegram, viber n.k mambo yatakuwa yale yale tu...hapo sijui whatsapp na kwingineko anachat nini huko na kina nani mpaka leo
pole sanaKaka huyo wala hajakuchit, wake za watu wanaochit wala hawachati chati hovyo huyo ni kutojitambua tuu, the good enough ni Mungu amekuonyesha ili umzindue kwenye hiyo mitego ya hivyo.Mkuu kwenye mtoto sina Shaka mtoto kafanana na mama yangu kila kitu mpaka bimkubwa akamkabidhi jina lake, maana wakubwa zangu walitangulia kuzaa hakuna aliyekabidhi mwanae jina la mama ila alipozaliwa wangu mama akamtazama Akasema iwe isiwe lazima aitwe jina lake na wamefanana kweli...hapo sina Shaka ila kwenye kukung'utwa na watu wengine hapo ndio roho inaniuma maana sina ushahidi wa moja kwa moja ila message zimeniumiza vibaya
Unaweza kuta hajawahi toka nje ya ndoa ila ni tabia tu za wengi pindi anapoingia kwenye mitandao na kuanza kuchat na kila mtu ilimradi anapoteza mda tu.
Wengi wa binadamu sasa unaweza mkuta anachat na mphilipino huko Manila na hata ndege hajawahi panda lakini kakazana tu.
Sio wote wanafanya kweli ila huenda amekuwa bored inabidi uwe unamtoa out (kama hamtoki) ili ajisikie.
Utakuta hata wewe unachat na marafiki hewa 1000 lakini in reality hujatembea nao hata wawili katika hao.
Take it easy[/QUOTE
Your very positive ! yaan nyie ndio watu wachache ambao wamebakia hutaki kufikiri negative zaidi simu ya mkeo au mpenzi haijapokelewa unawaza atakuwa mbali na simu anaoga au kuna kazi anafanya .Lakini kuna wengine ni kuwaza hasi! hasi!muda wote
Sawa nimekuelewa2009-2011 akafanya mtihani wa form four, 2012 February inshallah akapata matokeo sio mazuri sana wala sio mabaya akaingia certificate ila 28 July akadaka ujauzito, 21 November 2012 ndoa..15/4/2013 akajifungua mtoto wa kike. 2013-2015 Diploma kamaliza Mwaka Jana akapumzika Mwaka huu anaapply degree, mtoto wetu ana miaka mitatu now...nikutaarifu tu huyu binti alijaa vyema nilianza kumsomesha QT January kabla sijapata jibu kuwa ni demu wangu kisha April 2009 ndio akakubali kuwa kwenye uhusiano akiwa anasoma.