Diplomatic Imunnity
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,179
- 320
Mnyaturumtoa mada kwa uyo dem wa kimbulu una option 2 tu
umvumilie au ubwage
Mnyaturumtoa mada kwa uyo dem wa kimbulu una option 2 tu
umvumilie au ubwage
Mkuu kwanza kabla ya yote kachekini afya kwanza ndo maamuzi mengine yaendelee dunia imeisha wakuu.Habari za jumatano wanajamvi, bila shaka mmeamka salama kabisa.
Leo nimekuja huku kuomba ushauri maana tangu usiku sijalala kichwa kinawaka moto.Nimeoa miaka minne ilitopita, kabla ya hapo niliambiwa kabila la Mbulu sio la kuoa mie moyo ukawa umenasa hivyo na pete kanisani ikavaliwa. Nimebarikiwa mtoto mmoja wa kike.
Mwaka 2011 nilimfungulia account facebook mchumba kabla sijamuoa na nilikuwa namuamini sana.Tatizo Jana (Jumanne nikiwa kazini akaniambia account yake imesumbua halafu njia ndio mie hivyo nikiwa kazini nikalog in kwenye account yake (ikumbukwe tangu nimuunge sijawahi ingia kwenye inbox wala kugusa simu yake) baada ya kumrekebishia tatizo lake nikaona niingie inbox kwa mara ya kwanza.
Ukweli mie sinywi pombe lakini Jana nilijikuta naondoka kazini mapema na kwenda kuzimua kichwa. Nimekuta message nyingi anachat na vijana za ajabu ajabu mara mume wangu nitamuaga naenda kwa ndugu nitakuja kwako, mara mume wangu hayupo halafu nipo kitandani peke yangu baridi kali, Mara nimetoka kuoga ndio najifuta now, halafu anagawa namba yake ya simu kirahisi kwa kila anayemuomba namba. Yaani nusura nianguke ofisini maana mpaka wenzangu wamejua kuna tatizo ila sijafungua mdomo wangu.
Nimerudi nimemkuta ananichekea yani sijaongea kitu roho inaniuma vibaya, nahangaika kutoa jasho kwaajili ya kumpendezesha na mtoto wetu ila kaniona boya. Wakati naanza uhusiano nae nilikuta akiwa na elimu ya darasa la saba tu, nikamuendeleza QT na kumfundisha mpaka now ana diploma na October anaingia degree, sijui hata nifanye nini haki ya Mungu inanitesa sana.
Hilo nalo neno. Atafute mtu wa kumfuatilia mke mienendo yake kama kipindi cha "Cheaters"mkuu hujaona kama anatoa mpaka namba?apo napo anapoteza mda tu?

tofautisha kugawa na kugawa kirahisi,,yani kwa kila anaeitaka hyo mbunyeHiyo stereotype
Mi najua kila mwenye mbunye anaigawa, usiwaseme vibaya mawifi zangu ha ha ha ha ha

Wala mie sio mbulutofautisha kugawa na kugawa kirahisi,,yani kwa kila anaeitaka hyo mbunye
au na ww mbulu nn nianze kupga misele??![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Wacha weee! Mkuki kwa nguruwe...Dah bora mwanaume asaliti kuliko mwanamke aisee. Kitumbua cha mke wako kiliwe dah
Evelyn kinachoniuma ni kwamba before sijakutana nae nilikuwa Malaya mbwa ila nlipokutana nae nikajua roho mtakatifu kanigusa na nikabadilika kabisa, nikiwaza hapa atakuwa ameshanisaliti mara ngapi mpaka hivi leo? Kazi yangu yenyewe ni mikoani mara kwa mara naweza kaa mkoani hadi miezi mitatu kama project ni ndefu kiaina...hapo Kati atakuwa ameshakung'utwa vya kutosha, kama Facebook anajirahisi kiasi hichi vipi vijana wa hapa mtaani? Naweza kuwa nasalimiana na vijana wenzangu mtaani kumbe wananicheka wanavyonimegea mke wangu, sijui naanzia wapi kuongea nae, Nina hasira za karibu na sijawahi mpiga hata siku moja, nahisi Naweza fanya kitu cha ajabu....kichwa kinaniuma vibaya hapa
Ongea nae, halafu atakupa maelezo kwanini kafanya aliyofanya. Pengine ni justifiable. From there utajua uendelee vipi.
But a wise fellow once said, "If a woman cheats, it's premeditated". Keep that in mind.
Kama elimu ingekuwa inasaidia watu kuacha usaliti kila mtu angeoa mwenye elimu ya juu sana.Tatizo la mkeo ni ELIMU ELIMU ELIMU.
Hizo Elimu za kuunga unga Mara nyingi haziwasaidii saaana mana kwanza kusaidiwa kwingi na vijana.
Kwasababu inaonekana ana ulimbukeni mwingi, mpige kibano cha hatari asirudie tena akirudia cossovo inamhusu.
hahaahha we noma kakaMmmm fb hatari sana kule! Watoto wa kike rahis sana kule hasa wa mikoani! Me nimewala sana kwa kuwatumia naul waje dar
Mkuu kwenye mtoto sina Shaka mtoto kafanana na mama yangu kila kitu mpaka bimkubwa akamkabidhi jina lake, maana wakubwa zangu walitangulia kuzaa hakuna aliyekabidhi mwanae jina la mama ila alipozaliwa wangu mama akamtazama Akasema iwe isiwe lazima aitwe jina lake na wamefanana kweli...hapo sina Shaka ila kwenye kukung'utwa na watu wengine hapo ndio roho inaniuma maana sina ushahidi wa moja kwa moja ila message zimeniumiza vibayaMkuu kwanza kabla ya yote kachekini afya kwanza ndo maamuzi mengine yaendelee dunia imeisha wakuu.