Mke wangu ananiumiza kichwa

Mke wangu ananiumiza kichwa

Habari za jumatano wanajamvi, bila shaka mmeamka salama kabisa.

Leo nimekuja huku kuomba ushauri maana tangu usiku sijalala kichwa kinawaka moto.Nimeoa miaka minne ilitopita, kabla ya hapo niliambiwa kabila la Mbulu sio la kuoa mie moyo ukawa umenasa hivyo na pete kanisani ikavaliwa. Nimebarikiwa mtoto mmoja wa kike.

Mwaka 2011 nilimfungulia account facebook mchumba kabla sijamuoa na nilikuwa namuamini sana.Tatizo Jana (Jumanne nikiwa kazini akaniambia account yake imesumbua halafu njia ndio mie hivyo nikiwa kazini nikalog in kwenye account yake (ikumbukwe tangu nimuunge sijawahi ingia kwenye inbox wala kugusa simu yake) baada ya kumrekebishia tatizo lake nikaona niingie inbox kwa mara ya kwanza.

Ukweli mie sinywi pombe lakini Jana nilijikuta naondoka kazini mapema na kwenda kuzimua kichwa. Nimekuta message nyingi anachat na vijana za ajabu ajabu mara mume wangu nitamuaga naenda kwa ndugu nitakuja kwako, mara mume wangu hayupo halafu nipo kitandani peke yangu baridi kali, Mara nimetoka kuoga ndio najifuta now, halafu anagawa namba yake ya simu kirahisi kwa kila anayemuomba namba. Yaani nusura nianguke ofisini maana mpaka wenzangu wamejua kuna tatizo ila sijafungua mdomo wangu.

Nimerudi nimemkuta ananichekea yani sijaongea kitu roho inaniuma vibaya, nahangaika kutoa jasho kwaajili ya kumpendezesha na mtoto wetu ila kaniona boya. Wakati naanza uhusiano nae nilikuta akiwa na elimu ya darasa la saba tu, nikamuendeleza QT na kumfundisha mpaka now ana diploma na October anaingia degree, sijui hata nifanye nini haki ya Mungu inanitesa sana.


Rafiki yangu aliolewa na wakina ngosha, alisomeshwa mpaka masters, walivyoachana ngosha alilia 'ee nimewasomeshea'.
 
Ni kweli ndugu yangu Naweza sema kifua sina kabisa ndio maana muda wote huo sikuwahi fatilia simu yake wala accounts zake zaidi nilikuwa naona anapost picha au status basi nalike na kucomment basi...Jana sijui nilishikwa na roho gani akyamungu yamenitokea puani, sijapata usingizi nimekesha naangalia movie YouTube huku yeye kalala...

Bora umefungua umejua kuliko ungejitia kuendelea kumwamini. Heri Ukweli Mchungu kuliko Uongo unaovutia. Hapa hata ukiamua kuendelea nae hata aje kufanya nini haitakuumiza mana ushajua ni mtu wa aina gani.
 
Hizo ndio zao mkuu,wengi wameshatendwa nao,sio mtu wa kwanza wewe kuweka thread ya aina hii hapa JF,kama ni msomaji mzuri wa post zinazohusiana na mahusiano.
 
Hakuna aliyekuuliza hili,lkn mlichukua muda gn kwny uhusiano kabla hamjafunga ndoa?maana kuna formula wazazi wetu walikua wanazifuata na ndo mana wakadumu na sisi hatuzifuati ndo mana ndoa zetu zinakufa mapema.Na hapo waliokutombea sio mtaani tu,na huko chuo alipokua anasoma,bado qt wote wametomba,huyo ni malaya.
Ndugu jaribu kutumia tafsida basi maana kuzungumza matusi waziwazi tunakuwa hatuna tofauti na wahuni wa vijiweni...inawezekana au isiwezekane kwamba katembea nao kwani sijaona message hata moja ambayo kijana anaongea kufurahi kukutana faragha na kuinjoi...zaidi ni message za kipuuzi za udhalilishaji kwa Mke wa mtu. Like nipo kitandani, nakula hiki, napika, nimetoka kuoga ndio navaa, ninekumisi sana, nataka kusikia sauti yako, una ratiba gani leo, unafanya nini Sasa hivi, nataka nikuone, mume wangu amerudi tutachat kesho, nipo kitandani baridi, natamani ningekuwa karibu yako nikupe joto n.k
Sijaona message ya direct inayoonesha wamefanya ngono na hao vijana but bado suala linabaki palepale kwa Mke wa mtu kuna aina ya message hutakiwi kuchat kabisa....ningeiona message ya moja kwa moja ningeenda kumpumzisha kwao ila sijaiona hivyo sina ushahidi direct kama amefanya au ni chatting tu za kipuuzi


Tena huyo mpuuzi mmoja ambae ni underground artist anamshawishi Mke wangu aende Mwanza kwenye show yake halafu bila aibu anasema mi sijui kuimba wala kucheza, jamaa anamwambia upo na mie nitakufundisga kuimba na kucheza kwani hakuna aliyezaliwa anajua kusoma. Akasema mume wangu hawezi niruhusu ndio chalii anamwambia muage unaenda kusalimia ndugu zako kisha unakuja kwangu...upuuzi upuuzi wa kipumbavu huku Mimi navuja jasho analagaiwa na vivulana visivyokuwa na mbele wala nyuma.
 
Hata mimi kuna nyau mmoja alifanya hivo hivo
Kila siku anagawa namba yule kenge
 
kama hii story ni ya kweli pole sana ila nimesoma btn lines kuna sehemu umedanganya umesema ulimkuta darasa la saba ukamuoa na akasoma QT na diploma na kupata mtoto katika kipindi cha miaka minne. Ukiangalia vizuri muda unakinzana na alivyovipata content ya story sina tatizo nayo. Ushauri piga vibao mtimue harudi kwao ili aone ukubwa wa kosa na pia wazazi wake wajue nini binti yao anakosea ili wamfunze. Akiomba radhi msamehe ila atajua wewe huna mzaha. Mambo ya kukaa nae hotelini na kuongea nae kistaarabu achana nayo utaonekana boya na utaendelea kuchapiwa. Onyesha hasira zako na action pia
 
Pole ya kawaida hayo, ongea nae delete hiyo account Facebook, jipe muda maumivu yapungue msamehe maisha yaendelee.....
Kirahisi hivyo! He! Kwetu wana methali inasema "Akushabilila katafile tomanya nka akelekela" literal translation: Mtu anayetembea na mke/mme wako kama bado yuko hai huwezi jiaminisha ameacha! Msamehe, ameacha au jifanye hakuna jambo kama hilo? Anyway ni vizuri kuvumilia lakini inahitaji moyo! Ushauri wako ni mzuri anyway
 
Unaweza kuta hajawahi toka nje ya ndoa ila ni tabia tu za wengi pindi anapoingia kwenye mitandao na kuanza kuchat na kila mtu ilimradi anapoteza mda tu.

Wengi wa binadamu sasa unaweza mkuta anachat na mphilipino huko Manila na hata ndege hajawahi panda lakini kakazana tu.

Sio wote wanafanya kweli ila huenda amekuwa bored inabidi uwe unamtoa out (kama hamtoki) ili ajisikie.

Utakuta hata wewe unachat na marafiki hewa 1000 lakini in reality hujatembea nao hata wawili katika hao.

Take it easy
 
kama hii story ni ya kweli pole sana ila nimesoma btn lines kuna sehemu umedanganya umesema ulimkuta darasa la saba ukamuoa na akasoma QT na diploma na kupata mtoto katika kipindi cha miaka minne. Ukiangalia vizuri muda unakinzana na alivyovipata content ya story sina tatizo nayo. Ushauri piga vibao mtimue harudi kwao ili aone ukubwa wa kosa na pia wazazi wake wajue nini binti yao anakosea ili wamfunze. Akiomba radhi msamehe ila atajua wewe huna mzaha. Mambo ya kukaa nae hotelini na kuongea nae kistaarabu achana nayo utaonekana boya na utaendelea kuchapiwa. Onyesha hasira zako na action pia
Very well said mkuu funzadume
 
kama hii story ni ya kweli pole sana ila nimesoma btn lines kuna sehemu umedanganya umesema ulimkuta darasa la saba ukamuoa na akasoma QT na diploma na kupata mtoto katika kipindi cha miaka minne. Ukiangalia vizuri muda unakinzana na alivyovipata content ya story sina tatizo nayo. Ushauri piga vibao mtimue harudi kwao ili aone ukubwa wa kosa na pia wazazi wake wajue nini binti yao anakosea ili wamfunze. Akiomba radhi msamehe ila atajua wewe huna mzaha. Mambo ya kukaa nae hotelini na kuongea nae kistaarabu achana nayo utaonekana boya na utaendelea kuchapiwa. Onyesha hasira zako na action pia
Story nyingi za humu huwa ni fictions!
 
Mkuu pole sana kwa mkasa huo, ila tambua hakuna Jipya chini ya Jua yote Marudio ila Kabla halijakupata utaliona Jipya, mwenye maamuzi ni wewe uendelee kuwa nae au umuache. Jipe mda wa kutafakari na kuchunguza kwa undani juu ya kile ulichokiona je kina uhalisia ktk Matendo.

Naamini kama umemkuta sio bikira jua wapo watu waliokuwahi kabla na hivyo kwa vyovyote vile ukiona anasaliti ndoa jua sio kitu cha kushangaa na kustaajabisha.
 
Kirahisi hivyo! He! Kwetu wana methali inasema "Akushabilila katafile tomanya nka akelekela" literal translation: Mtu anayetembea na mke/mme wako kama bado yuko hai huwezi jiaminisha ameacha! Msamehe, ameacha au jifanye hakuna jambo kama hilo? Anyway ni vizuri kuvumilia lakini inahitaji moyo! Ushauri wako ni mzuri anyway
Hata ukisema unaendelea kukaza ni kujiumiza tu moyo na kujipa stress kama kafanya kafanya tu haibadiliki
Unabaki na option mbili tu
1:huwezi kumsamehe, vunja ndoa
2:jipe muda maumivu yapungue, msamehe maisha yaendelee
Baaas
 
kama hii story ni ya kweli pole sana ila nimesoma btn lines kuna sehemu umedanganya umesema ulimkuta darasa la saba ukamuoa na akasoma QT na diploma na kupata mtoto katika kipindi cha miaka minne. Ukiangalia vizuri muda unakinzana na alivyovipata content ya story sina tatizo nayo. Ushauri piga vibao mtimue harudi kwao ili aone ukubwa wa kosa na pia wazazi wake wajue nini binti yao anakosea ili wamfunze. Akiomba radhi msamehe ila atajua wewe huna mzaha. Mambo ya kukaa nae hotelini na kuongea nae kistaarabu achana nayo utaonekana boya na utaendelea kuchapiwa. Onyesha hasira zako na action pia
2009-2011 akafanya mtihani wa form four, 2012 February inshallah akapata matokeo sio mazuri sana wala sio mabaya akaingia certificate ila 28 July akadaka ujauzito, 21 November 2012 ndoa..15/4/2013 akajifungua mtoto wa kike. 2013-2015 Diploma kamaliza Mwaka Jana akapumzika Mwaka huu anaapply degree, mtoto wetu ana miaka mitatu now...nikutaarifu tu huyu binti alijaa vyema nilianza kumsomesha QT January kabla sijapata jibu kuwa ni demu wangu kisha April 2009 ndio akakubali kuwa kwenye uhusiano akiwa anasoma.
 
Hata ukisema unaendelea kukaza ni kujiumiza tu moyo na kujipa stress kama kafanya kafanya tu haibadiliki
Unabaki na option mbili tu
1:huwezi kumsamehe, vunja ndoa
2:jipe muda maumivu yapungue, msamehe maisha yaendelee
Baaas
Option ya kwanza to me is preferred! Evelyn are you married? Can you take the second option. Anyway, kwa wanawake mnakutana nayo sana mume kuwa na hawala nje wachache wanaondokaga na kuvunja ndoa! Kwa mwanamume Mh!!!!!!!!!
 
Jipu hilo, tumbua. Ndoa ya miaka 4 hutajuta ukim-dump, fungua ukurasa mpya kwa sababu hii haitakutoka moyoni maishani and you will never trust her.
Chukulia ulilamba garasha, okota tena karata nyingine lakini usifanye maamuzi ya haraka, mjue kwanza at least a courtship period of 15 months will give you an insight.
Vinginevyo pole, najua ni kiasi gani inauma.
 
Back
Top Bottom