Mke wangu ananiumiza kichwa

Mke wangu ananiumiza kichwa

Kama mwanamume lazima uhakikishe mkeo anakuwa Na discipline!
Kwa diplomasia au hata udikteta!!
Mkanye mkeo mkuu, asipokusikiliza wewe huyo hafai kuwa mke!!!
 
Evelyn kinachoniuma ni kwamba before sijakutana nae nilikuwa Malaya mbwa ila nlipokutana nae nikajua roho mtakatifu kanigusa na nikabadilika kabisa, nikiwaza hapa atakuwa ameshanisaliti mara ngapi mpaka hivi leo? Kazi yangu yenyewe ni mikoani mara kwa mara naweza kaa mkoani hadi miezi mitatu kama project ni ndefu kiaina...hapo Kati atakuwa ameshakung'utwa vya kutosha, kama Facebook anajirahisi kiasi hichi vipi vijana wa hapa mtaani? Naweza kuwa nasalimiana na vijana wenzangu mtaani kumbe wananicheka wanavyonimegea mke wangu, sijui naanzia wapi kuongea nae, Nina hasira za karibu na sijawahi mpiga hata siku moja, nahisi Naweza fanya kitu cha ajabu....kichwa kinaniuma vibaya hapa
Pole sana.Watu sio waaminifu.
 
Wewe tatizo lako la kwanza umeoa mwanamke mjinga anayefanya ushenzi huo halafu anasahau na kukupa password.

Kwa sasa kubali matokeo tu.

Pia umeambiwa kutengeneza access ya account. Siyo kuingia inbox.
 
Pole ndugu, ila nliwahi shauriwa kuwa kama huna kifua kaa mbali na simu ya mwenza wako, mi nakuomba fanya yafuatayo, toka naye out siku moja jua wewe na yeye, ikiwezekana hata chukua weekend moja hotelini, wakati mnainjoi embu jaribu kupeleleza kama kuna kitu ana miss kwako, nini anatamani uongeze katika mapenzi yenu, kama vipo hivyo vitu then in a polite way jaribu kumuuliza kama ndo vinafanya anachat ujinga fb, kama havipo jaribu kumuuliza politely why anafanya anayoyafanya?

Ongea naye tatua in a polite way mpe another chance, niliwahi salitiwa na mpenzi wangu niliumwa hadi kulazwa, alikuja akitubu na msamaha analia hadi alizimia ila sikuwa tayari, baadae nilijiuliza hivi ningekuwa ni mimi nimefanya hilo kosa si ningetaka kusamehewa? I believe ingehappen kwako ungetaka na wewe kusamehewa na mwenzako akupe fursa ya kujieleza why ulianguka, kama yeye amechangia au lah, na upewe a chance to make things fresh.

Victor j (MC mtumishi)
Inspirational and motivational speaker/master of ceremony
Yawezekana kabisa wala haku cheat wala nini. Ila huenda kwako ana miss hayo maneno ambayo anayapata huko face book ndio maana anaishia ku chat huko. Sijui kwanini unakuwa mwepesi kufikiria kuwa unasalitiwa. huo unaouita ujinga ndio unao matter kwa wapendanao.
 
Yawezekana kabisa wala haku cheat wala nini. Ila huenda kwako ana miss hayo maneno ambayo anayapata huko face book ndio maana anaishia ku chat huko. Sijui kwanini unakuwa mwepesi kufikiria kuwa unasalitiwa. huo unaouita ujinga ndio unao matter kwa wapendanao.
Ku cheat si lazima kujutana kimwili.

Ukishafanya betrayal usha cheat.

Ukifanya mawasiliano ya kimahaba bila ya mwenzako kujua usha cheat.
 
Back
Top Bottom