LadyRed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 9,636
- 11,507
Am js being a woman, words matter to me..Jiongeze...ma care yote hujui unapendwa? Unataka kusikia 'I LOVE YOU'.....Maneno hayo hata kasuku anaweza kutamka.
Am js being a woman, words matter to me..Jiongeze...ma care yote hujui unapendwa? Unataka kusikia 'I LOVE YOU'.....Maneno hayo hata kasuku anaweza kutamka.
Js crazy stuff people do for loveKwa sangoma ulifuata nini bibie?
Huo ndo utaratibuPole ya kawaida hayo, ongea nae delete hiyo account Facebook, jipe muda maumivu yapungue msamehe maisha yaendelee.....
....sounds girlish rather.......Am js being a woman, words matter to me..
Usipende kwenda kwa washirikina ndugu, utakuja kupata majanga ujute maishaniJs crazy stuff people do for love
Uvccm tena?!! Una nini zaidi ya akili uji na kujisifia ujinga tu!Mmmm fb hatari sana kule! Watoto wa kike rahis sana kule hasa wa mikoani! Me nimewala sana kwa kuwatumia naul waje dar
Wanaume huwa tunatafuta kwa jasho ili Mradi kumeet demands za wake na familia, in that case basi wengi hupendwa kuheshimiwa na kutodharaulika kwa kuchapiwa na vijana especially ambao Hawana mwelekeo. Ila is vijana ambao sio watafutaji Mara nyingi huwa hawamind sana mwanamke akichepuka na kuhudumia familia, ninao mfano mzuri wa kijana hapa mtaani kwetu ambae demu wake huudumia familia na anajua fika kuwa demu mgawaji sana.Hv kwanini mwanaume akicheat wanawake tunavumilia ila mwanamke akicheat hata kama mwanaume ndo kasababisha kuna zero tolerance??
Naomba kueleweshwa hapa, why can't u forgive a cheating wife akiomba msamaha ili muanze moja
Mwanaume si malaya. Mwanaume ni muhuni. Malaya ni mwanamke.Evelyn kinachoniuma ni kwamba before sijakutana nae nilikuwa Malaya mbwa ila nlipokutana nae nikajua roho mtakatifu kanigusa na nikabadilika kabisa, nikiwaza hapa atakuwa ameshanisaliti mara ngapi mpaka hivi leo? Kazi yangu yenyewe ni mikoani mara kwa mara naweza kaa mkoani hadi miezi mitatu kama project ni ndefu kiaina...hapo Kati atakuwa ameshakung'utwa vya kutosha, kama Facebook anajirahisi kiasi hichi vipi vijana wa hapa mtaani? Naweza kuwa nasalimiana na vijana wenzangu mtaani kumbe wananicheka wanavyonimegea mke wangu, sijui naanzia wapi kuongea nae, Nina hasira za karibu na sijawahi mpiga hata siku moja, nahisi Naweza fanya kitu cha ajabu....kichwa kinaniuma vibaya hapa
Swala kama lako lilishanitokea,tena kwa wife kama wewe.nilipopata gap la kuongea nae ilikuwa wakati namgegeda ndo nikauliza fulani ndo nani? Mara nikaona mtu anaanza kulia kwa kwikwi,ooh mme wangu nisamehe sitorudia.nikachomoa gegedo nikashuka. Nikauliza nikusamehe kwa LIPI? Niambie ukweli fulani ni nani? Nimetembea na fulani mara mbili.Aisee nguvu ziliisha ghafla nikahisi joto kari kwa sababu ya hasira za ghafla.Akali usiku kucha na kuomba msamaha.Ilipita wiki nzima analia na kuomba msamaha,sikumpiga wala kumgombeza.Nikamwambia nimekusamehe yameisha.Mpaka leo tupo pamoja na ndoa inaendelea.TANGU SIKU HIYO NIMEJIFUNZA VITU VINGI.Mkuu mpaka Sasa nimeshaondoka nyumbani sijamuambia kitu ingawa ananijua vyema ameona imebadilika ghafla, kama nilivyosema najijua Nina hasira za karibu sana hivyo nahisi ningeuliza akanijibu ndivyo sivyo ningesababisha mengine. Nilimpigia Dada yake mkubwa Jana tumepanga kuonana leo, nimueleze ya mdogo wake kisha Dada yake nitamsikiliza ana maoni gani sitaki yafike kwa wazazi maana itakuwa aibu kwake na kwangu pia mambo kama haya
Duuuuh hii Sasa ni hatari...Swala kama lako lilishanitokea,tena kwa wife kama wewe.nilipopata gap la kuongea nae ilikuwa wakati namgegeda ndo nikauliza fulani ndo nani? Mara nikaona mtu anaanza kulia kwa kwikwi,ooh mme wangu nisamehe sitorudia.nikachomoa gegedo nikashuka. Nikauliza nikusamehe kwa LIPI? Niambie ukweli fulani ni nani? Nimetembea na fulani mara mbili.Aisee nguvu ziliisha ghafla nikahisi joto kari kwa sababu ya hasira za ghafla.Akali usiku kucha na kuomba msamaha.Ilipita wiki nzima analia na kuomba msamaha,sikumpiga wala kumgombeza.Nikamwambia nimekusamehe yameisha.Mpaka leo tupo pamoja na ndoa inaendelea.TANGU SIKU HIYO NIMEJIFUNZA VITU VINGI.
1. usimuamini mwanamke kwa jambo lolote.
2. Mwanamke huwa haachani na mpenzi wake wa zamani(coz niligundua ni jamaa yake wa zamani)
3. Usishike simu ya mpenzi wako.
4. Kubali au kataa ila tambua unapigiwa siku zote.
SULUHISHO LA LOTE HAYA.
1. NIKIMTAMANI DEMU YOYOTE NA UWEZO WA KUMPATA NINAO LAZIMA NIMLE.
Usijali mkuu nitakupa dawa,
Kwanza pole na maumivu lkn pia kumbuka jasili ahachi asili, hawa wanawake wa ki mbulu wengi wao hawajatulia cha msingi achana naye fanya mambo mengine, fungua ACC ingine Facebook then mtongoze pia mwisho wa siku jifanye kusafiri then tumia ile ACC ya Facebook kuchati naye umwite guest akijiroga akaja tu bas mpe talaka yake.
Na mawazo yao ya kisengerema KUCHEAT NI HAKI YAO teh what goes around......Wanaume are the most selfish ikija kwenye swala la uaminifu, wengi wao ni wahuni hujapata ona yet they want a faithful angel at home, bad enough they mistreat her sometimes,mnadhani ana moyo wa chuma??she will cheat too akipata nafasu
Maumivu ya kukosewa uaminifu asikwambie mtu Acha tu,