MduduWashawasha
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 1,653
- 605
Katika maisha ya ndoa ,misuko suko mingi iko katika umri wa ujana miaka 30-45.omba Mungu upite salama ktk miaka hiyo kwani vishawishi ni vingi.baada ya muda huo mapenzi yataanza kurudi upyaa na ndio mpaka uzeeni.zaidi ya sms ushawahi kumkuta labda anapigwa denda hivi ,au na mwanaume mahali? Ukianza kumfuata fuata mkeo na kuchunguza nyendo zake utaishia hapo ulipo ww na trust me si ww tu ni ktk ndoa nyingi.Hata baada ya ndoau tajikuta tu unapenda au kupendwa pia na naamini hata ww kuna wanawake wanakutaka mahali .Hapo sass