KING 360
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,002
- 5,202
Uyo usikute hakua na hela ya Kurudisha mkopo na alikopa kwa njemba
So labda alienda kulipa kwa njia nyingine usiniulize kwa njia gani
Fukuza kabisa uyo baada ya miezi mitatu akiwa kashachokwa uko alikoenda atarudi mwenyewe na husifanye kosa la kumrudia maana itakuwa ndo tabia yake
Note:sifurahii ndoa kuvunjika ila kuna mambo lazima ufanye maamuziagumu ndio maana vijana hawaoi
So labda alienda kulipa kwa njia nyingine usiniulize kwa njia gani
Fukuza kabisa uyo baada ya miezi mitatu akiwa kashachokwa uko alikoenda atarudi mwenyewe na husifanye kosa la kumrudia maana itakuwa ndo tabia yake
Note:sifurahii ndoa kuvunjika ila kuna mambo lazima ufanye maamuziagumu ndio maana vijana hawaoi